hiyo ni njia tu ya serikali iliyotukuka ya tz kula hela za walalahoi.... kila leo wanakuja na mbinu mpya za kumkamua mnyonge......
Kidumu chama cha matajiri
Hata mimi nililambwa 180000 alafu hakuna cha ukaguzi wala nini.
Na road licence niliyopewa haionyeshi chochote kuhusu fire inspection
Kha huko ni 30,000 tu? Huku kijijini kwetu ni 40,000!
Unajua sisi watanzania tuko kama tumelogwa! Haki ya nani tena hatuko sawa!
Hivi ni watu gani wanakaa na kufikiria wizi kama huo na sisi tuko ka mazuzu tu (sorry kwa kutumia hii kauli kama itamkwaza mtu) na wala hatuhoji! Mimi nilitegemea kuwa ukishalipia hiyo 40,000 ukienda kuchukua road license yako unakuta na mtungi wako mpya unakusubiri. Kumbe ni fire inspection! Inspection of what?
Pamoja na fire inspection, Pamoja na kuwa na fire extinguishers lakini tumeshuhudia magari mangapi yakiwaka moto bila kusaidiwa na hizo fire extinguishers zao! Siku hizi wamehamia kwenye maduka! Wanataka kila mmiliki wa duka awe na fire extinguishers. Mimi niliwauliza ina maana nikishaweka fire extinguisher inafanya kazi ya kuzima automatically ama ni vipi! Sisi saa hizo labda ni usiku! Itatusaidiaje?
Nawaambia huu ni wizi wa aina mpya! Serekali inadaiwa na mifuko ya hifadhi za jamii mabilioni ya fedha! Wamehamia huku baada ya jaribio lao la kutaka kuzuia mafao ya mifuko ya hifadhi za jamii kwa wanachama hadi umri wa kustaafu utimie. Wamegeukia kwa wananchi! Na mpaka 2015 tutakamuliwa sana. kama yalikuwa yanatoka maziwa mwisho sasa tutaanza kukamuliwa damu.
Ifike mahali tuseme sasa yatosha!
MIMI NASEMA HUU NI WIZI WA KUTISHA KULIKO WIZI ULE WA EPA, MEREMETA, DOWANS, RICHMOND, KIWIRA, WANYAMA HAI KUSAFIRISHWA NJE, MACHIMBO YA MADINI and more you can name!
SHAME ON THOSE WHO ARE INVOLVED WITH THIS. Iko siku! Ole wenu!
Hao ni wahuni tu, tena washenzi kabisa.
Unalipia road license yako kwa mwaka mzima, than unalipia hiyo fire inspection kisha ukienda zimamoto wanakupa stika ya fire ambayo nayo ni ya mwaka mzima. Cha ajabu na cha ushenzi hapa ni kuwa ile stika ya fire huwa ni ya kuanzia Julai,01 hadi 31june ya mwaka unaofuata.
Kama road license yako inaisha 20 june 2013 ukienda kulipia wanakuambia ulipe na fedha za fire inspection kisha wanakupa stika ya tarehe 01/07/2012 - 31/06/2013 ina maana tarehe 1/7/2013 trafiki wanaanza kukusumbua stika ya fire na kukudai rushwa.
Ndio maana nimesema tra wanafanya ushenzi na hiki kipengele cha fire inspection. Kwa nini wasitoe stika ya fire ya mwaka mzima kuanzia tarehe ya kulipi mteja kama ilivyo road license?????
Kha huko ni 30,000 tu? Huku kijijini kwetu ni 40,000!
Unajua sisi watanzania tuko kama tumelogwa! Haki ya nani tena hatuko sawa!
Hivi ni watu gani wanakaa na kufikiria wizi kama huo na sisi tuko ka mazuzu tu (sorry kwa kutumia hii kauli kama itamkwaza mtu) na wala hatuhoji! Mimi nilitegemea kuwa ukishalipia hiyo 40,000 ukienda kuchukua road license yako unakuta na mtungi wako mpya unakusubiri. Kumbe ni fire inspection! Inspection of what?
Pamoja na fire inspection, Pamoja na kuwa na fire extinguishers lakini tumeshuhudia magari mangapi yakiwaka moto bila kusaidiwa na hizo fire extinguishers zao! Siku hizi wamehamia kwenye maduka! Wanataka kila mmiliki wa duka awe na fire extinguishers. Mimi niliwauliza ina maana nikishaweka fire extinguisher inafanya kazi ya kuzima automatically ama ni vipi! Sisi saa hizo labda ni usiku! Itatusaidiaje?
Nawaambia huu ni wizi wa aina mpya! Serekali inadaiwa na mifuko ya hifadhi za jamii mabilioni ya fedha! Wamehamia huku baada ya jaribio lao la kutaka kuzuia mafao ya mifuko ya hifadhi za jamii kwa wanachama hadi umri wa kustaafu utimie. Wamegeukia kwa wananchi! Na mpaka 2015 tutakamuliwa sana. kama yalikuwa yanatoka maziwa mwisho sasa tutaanza kukamuliwa damu.
Ifike mahali tuseme sasa yatosha!
MIMI NASEMA HUU NI WIZI WA KUTISHA KULIKO WIZI ULE WA EPA, MEREMETA, DOWANS, RICHMOND, KIWIRA, WANYAMA HAI KUSAFIRISHWA NJE, MACHIMBO YA MADINI and more you can name!
SHAME ON THOSE WHO ARE INVOLVED WITH THIS. Iko siku! Ole wenu!
Kha huko ni 30,000 tu? Huku kijijini kwetu ni 40,000!
Unajua sisi watanzania tuko kama tumelogwa! Haki ya nani tena hatuko sawa!
Hivi ni watu gani wanakaa na kufikiria wizi kama huo na sisi tuko ka mazuzu tu (sorry kwa kutumia hii kauli kama itamkwaza mtu) na wala hatuhoji! Mimi nilitegemea kuwa ukishalipia hiyo 40,000 ukienda kuchukua road license yako unakuta na mtungi wako mpya unakusubiri. Kumbe ni fire inspection! Inspection of what?
Pamoja na fire inspection, Pamoja na kuwa na fire extinguishers lakini tumeshuhudia magari mangapi yakiwaka moto bila kusaidiwa na hizo fire extinguishers zao! Siku hizi wamehamia kwenye maduka! Wanataka kila mmiliki wa duka awe na fire extinguishers. Mimi niliwauliza ina maana nikishaweka fire extinguisher inafanya kazi ya kuzima automatically ama ni vipi! Sisi saa hizo labda ni usiku! Itatusaidiaje?
Nawaambia huu ni wizi wa aina mpya! Serekali inadaiwa na mifuko ya hifadhi za jamii mabilioni ya fedha! Wamehamia huku baada ya jaribio lao la kutaka kuzuia mafao ya mifuko ya hifadhi za jamii kwa wanachama hadi umri wa kustaafu utimie. Wamegeukia kwa wananchi! Na mpaka 2015 tutakamuliwa sana. kama yalikuwa yanatoka maziwa mwisho sasa tutaanza kukamuliwa damu.
Ifike mahali tuseme sasa yatosha!
MIMI NASEMA HUU NI WIZI WA KUTISHA KULIKO WIZI ULE WA EPA, MEREMETA, DOWANS, RICHMOND, KIWIRA, WANYAMA HAI KUSAFIRISHWA NJE, MACHIMBO YA MADINI and more you can name!
SHAME ON THOSE WHO ARE INVOLVED WITH THIS. Iko siku! Ole wenu!