H1N1
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 4,217
- 1,579
Vyote viwili ROAD LICENCE NA FIRE INSPECTION sio kodi bali ni adhabu ya kumiliki gari TANZANIA. Lakini kwa vile tumelogwa na mlogaji wetu alikufa hatuna mtu wa kutuzindua tutaendelea kuumizwa hivi hivi,bunge letu tukufu lililidhia wizi huu.
kama kila litre ya mafuta niwekayo kwenye gari langu ina tozo rasmi kwa wenye gari kwa ajili ya road fund,the road licence ni ya nini ? Fire inspection ili kiwe nini ? fire wameamua kujitafutia kipato toka kwa wenye gari, kwa nini nilazimishwe kukata bima ya gari na nilizamishwe kununu fire extinguisher ? kama bima ni pamoja na gari ikiungua kwa nini iwe lazima kwa mimi kuweka kifaa cha kuzimia moto na si kwamba hicho kifaa kitolewe na kampuni ya bima ambayo inataka kupunguza risk kwa ajili ya moto ?
Kwa kweli wigo wa rushwa kwa trafiki wetu unapanuliwa kila iitwapo leo.
kama kila litre ya mafuta niwekayo kwenye gari langu ina tozo rasmi kwa wenye gari kwa ajili ya road fund,the road licence ni ya nini ? Fire inspection ili kiwe nini ? fire wameamua kujitafutia kipato toka kwa wenye gari, kwa nini nilazimishwe kukata bima ya gari na nilizamishwe kununu fire extinguisher ? kama bima ni pamoja na gari ikiungua kwa nini iwe lazima kwa mimi kuweka kifaa cha kuzimia moto na si kwamba hicho kifaa kitolewe na kampuni ya bima ambayo inataka kupunguza risk kwa ajili ya moto ?
Kwa kweli wigo wa rushwa kwa trafiki wetu unapanuliwa kila iitwapo leo.