Ibrahimeliza
Member
- Nov 25, 2020
- 37
- 26
Kuna kitu sijakielewa hapa, au hakipo sawaaa, ukitaka kuanzisha biashara lazima ufuate utaratibu wa kisheria mfano lazima uwe na tin na lesseni ya biashara husika, embu fikiria unataka kuanzisha biashara ya miamala ya kipesa imezoeleka kama tigopesa ili upate line za kazi hiyo lazima uwe na lessen ya biashara hiyo, process utaanzia tra kwaajili ya makadilio na kuhifadhi taarifa zako kwaajili ya hiyo biashara yako sio...?? Kisha utaenda manispaa/kata kwaajili ya lesseni kisichokuwa sawa ni hichi.
Ili upate line za kazi lazima uwe na lesseni na ili upate lesseni utapitia tra kwaajili ya kukadiriwa biashara ambayo hata haujaianza, utaulizwa eneo la biashara yako, unaingiza kiasi gani kwa siku, wafanya kazi wangapi, maswali kama hayo nawakati wewe unataka lesseni kwaajili ya kufuatilia line ili uanze kazi, au mimi kuna kitu sijakielewa.
Ili upate line za kazi lazima uwe na lesseni na ili upate lesseni utapitia tra kwaajili ya kukadiriwa biashara ambayo hata haujaianza, utaulizwa eneo la biashara yako, unaingiza kiasi gani kwa siku, wafanya kazi wangapi, maswali kama hayo nawakati wewe unataka lesseni kwaajili ya kufuatilia line ili uanze kazi, au mimi kuna kitu sijakielewa.