NAFIKIRE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 634
- 415
Wadau hili swala la kwenda TRA na kudaiwa elfu kumi kulipia fire extinguisher ya pikipiki naona kama halijakaa sawa...Naomba tulijadili hili kwani naona ni njia mojawapo ya kuwaumiza walala hoi..Mimi sioni mantinki ya kununua fire-extinguisher ya pikikiki kwani sioni utaitumia wapi na wakati gani.karibuni mtoe maoni yenu