Maajabu: TRA yashindwa kuingiza pesa siku tatu kwa TIN Mpya za Magari na Leseni

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Wana JF,

Ukisikia Mkuu wa nchi anawasema wanaokwamisha mipango ya kuingiza pesa, kiukweli hawa watu wa IT TRA walitakiwa wawe wamefukuzwa kazi, kwa muda wa siku tatu, hakuna access ya kuingiza control number za kulipia kwa watu wa ingizo jipya wanaoomba TIN Number, waweze ku-transfer card, pia wanaokata lessen mpya za magari na pikipiki. Hili linakwamisha ingizo jipya la pesa Tanzania mzima.

Mimi nimeshinda TRA siku ya tatu watu wanaonunua magari na kubadirisha kadi wamepata hasara kwa wateja wao na kuzusha ugomvi mkubwa kwamba uenda ni gari za kitapeli, kwa nini transfer ichukue muda hivi. wengi wamerejesha magari wenye roho nyepesi kwa kuogopa kadhia hii.

Mkuu wa TRAanatakiwa kutupia jicho kwani makao makuu vijana wa IT ukiona kuna matatizo jua kuwa wanasababisha matafaruku mkubwa kwenye jamii inayofanya biashara
 
Shida wanatumia TTCL kwenye mtandao yaani ni shida kila.nusu saa upo down.

Kuna siku nilienda ku renew leseni yangu wakati ofisi zipo pale mayfair plaza yaani mpaka mhudumu wa TRA akaniambia tunahitaji kutafuta service provider mwingine huyu TTCL atasabisha wananchi watuchape Makofi.

Siku ya pili mtandao hamna. Dah huko ndiko tunashawishiwa turudi eti kumenoga.
 
Shida wanatumia TTCL kwenye mtandao yaani ni shida kila.nusu saa upo down. Kuna siku nilienda ku renew leseni yangu wakati ofisi zipo pale mayfair plaza yaani mpaka mhudumu wa TRA akaniambia tunahitaji kutafuta service provider mwingine huyu TTCL atasabisha wananchi watuchape Makofi. Siku ya pili mtandao hamna. Dah huko ndiko tunashawishiwa turudi eti kumenoga.
Nyumbani kumenuna eeeh!

Wala hakujanogha
 
Mkuu hizi technolojia zikisala ni shida, hasa kama una watu ambao sio competent, kuna story kuwa watu wengi TRA ajira ni za kubebwa-bebwa tu!
Fikiria nina ela yao nazunguka nayo nashindwa kulipia eti sina control number, karatas lao la TIN washaliprint kama pambo.
 
Shida wanatumia TTCL kwenye mtandao yaani ni shida kila.nusu saa upo down. Kuna siku nilienda ku renew leseni yangu wakati ofisi zipo pale mayfair plaza yaani mpaka mhudumu wa TRA akaniambia tunahitaji kutafuta service provider mwingine huyu TTCL atasabisha wananchi watuchape Makofi. Siku ya pili mtandao hamna. Dah huko ndiko tunashawishiwa turudi eti kumenoga.
Li-line la TTCL nilishalitupa , wanakudanganya na GB nyingi lakini zinunue sasa, utakaa mpaka uchoke, nimeamua kuirudia VODA japo wananitandika kichizi lakini ipo fasta, voda ukiunga tu ukichelewa kudwnload fasta, unakuta washakupunguzia wenyewe kusudi uunue nyingine.
 
Wana JF,

Ukisikia Mkuu wa nchi anawasema wanaokwamisha mipango ya kuingiza pesa, kiukweli hawa watu wa IT TRA walitakiwa wawe wamefukuzwa kazi, kwa muda wa siku tatu, hakuna access ya kuingiza control number za kulipia kwa watu wa ingizo jipya wanaoomba TIN Number, waweze ku-transfer card, pia wanaokata lessen mpya za magari na pikipiki. Hili linakwamisha ingizo jipya la pesa Tanzania mzima.

Mimi nimeshinda TRA siku ya tatu watu wanaonunua magari na kubadirisha kadi wamepata hasara kwa wateja wao na kuzusha ugomvi mkubwa kwamba uenda ni gari za kitapeli, kwa nini transfer ichukue muda hivi. wengi wamerejesha magari wenye roho nyepesi kwa kuogopa kadhia hii.

Mkuu wa TRAanatakiwa kutupia jicho kwani makao makuu vijana wa IT ukiona kuna matatizo jua kuwa wanasababisha matafaruku mkubwa kwenye jamii inayofanya biashara
Watu wa IT wa TRA watakuwa CHADEMA hao, ombi lako litafanyiwa kazi

Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk
 
Wana JF,

Ukisikia Mkuu wa nchi anawasema wanaokwamisha mipango ya kuingiza pesa, kiukweli hawa watu wa IT TRA walitakiwa wawe wamefukuzwa kazi, kwa muda wa siku tatu, hakuna access ya kuingiza control number za kulipia kwa watu wa ingizo jipya wanaoomba TIN Number, waweze ku-transfer card, pia wanaokata lessen mpya za magari na pikipiki. Hili linakwamisha ingizo jipya la pesa Tanzania mzima.

Mimi nimeshinda TRA siku ya tatu watu wanaonunua magari na kubadirisha kadi wamepata hasara kwa wateja wao na kuzusha ugomvi mkubwa kwamba uenda ni gari za kitapeli, kwa nini transfer ichukue muda hivi. wengi wamerejesha magari wenye roho nyepesi kwa kuogopa kadhia hii.

Mkuu wa TRAanatakiwa kutupia jicho kwani makao makuu vijana wa IT ukiona kuna matatizo jua kuwa wanasababisha matafaruku mkubwa kwenye jamii inayofanya biashara
Duuh
 
Wana JF,

Ukisikia Mkuu wa nchi anawasema wanaokwamisha mipango ya kuingiza pesa, kiukweli hawa watu wa IT TRA walitakiwa wawe wamefukuzwa kazi, kwa muda wa siku tatu, hakuna access ya kuingiza control number za kulipia kwa watu wa ingizo jipya wanaoomba TIN Number, waweze ku-transfer card, pia wanaokata lessen mpya za magari na pikipiki. Hili linakwamisha ingizo jipya la pesa Tanzania mzima.

Mimi nimeshinda TRA siku ya tatu watu wanaonunua magari na kubadirisha kadi wamepata hasara kwa wateja wao na kuzusha ugomvi mkubwa kwamba uenda ni gari za kitapeli, kwa nini transfer ichukue muda hivi. wengi wamerejesha magari wenye roho nyepesi kwa kuogopa kadhia hii.

Mkuu wa TRAanatakiwa kutupia jicho kwani makao makuu vijana wa IT ukiona kuna matatizo jua kuwa wanasababisha matafaruku mkubwa kwenye jamii inayofanya biashara
Aisee ndio maana naipenda JF, nimekaa wiki nzima sina amani nikijua Huyu Agent wa Beforwad kaniibia pesa, niliagiza gari yangu nimeeshalipa kila kitu lakini naona haniletei mchuma wangu. Imefika mahali mpaka namtumia meseji za kukosa imani nae. Kumbe ni TRA wenyewe?? Wamezingua sana huku mtaani mpaka tunaharibiana ujirani mwema.
 
Kazi za kubebana izo ndio zimeifikisha TRA uku. Watu wameajiriana ukooo mzima

Ukiwa na husda na roho mbaya bhana, service provider ndio huwa wanazingua network zao kuwa down. TRA pamoja na kuwa na automation nyingi bado wagawaji wa internet ni hao TTCL ambao mara kibao link zao zinakuwa down, sasa TRA afanyeje ili hali ni lazima kwake kutumia TTCL?
 
mnaanza kuipiga ttcl vita na kuihujumu ili mulete vikampuni vyenu???


Mkae mkijua hamtofanikiwa, hao watumishi wa tra kama na wao wanapiga vita ttcl wajiandae kufukuzwa kazi.

kuweni wazalendo na vya kwenu
 
Pumbavu mnaanza kuipiga ttcl vita na kuihujumu ili mulete vikampuni vyenu???


Mkae mkijua hamtofanikiwa, hao watumishi wa tra kama na wao wanapiga vita ttcl wajiandae kufukuzwa kazi.

Pumbavu zenu kuweni wazalendo na vya kwenu
Hahahahahahaa.....fahari ya mavi yako ni harufu yake.
 
Back
Top Bottom