RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,425
hivi kuna fire extinguisher ina youzwa elfu kumi 10 000?maana hata ukilipa unapewa sticker tu na sio fire extinguisher,hivi unaweza kuzima moto kwa kutumia sticker?na hapo sijui maisha ya mtu yanalindwa je sasa! Fikiria vizuri hapo.
Nimesema Fire Extinguisher inauzwa Elfu kumi??... kwani ukipigwa Faini ya Tairi bovu basi hilo tairi linauzwa Hiyo hela....
Nunua Fire Extinguisher