TRA – Mamlaka ya Mapato Tanzania

lukindo

JF-Expert Member
Mar 20, 2010
8,466
9,028
Heshima mbele wakuu.
Nimeamua kupitia huku leo baada ya kutatizwa na haya maneno ambayo machoni pa wengi yanatumika tu ila binafsi naona kasoro zifuatazo.
Taasisi ya kukusanya kodi Tanzania inaitwa TANZANIA REVENUE AUTHORITY ambapo kwa tafsiri nyepesi ya Kiswahili fasaha yaweza kuwa "MAMLAKA YA USHURU TANZANIA".
Kwa Kiingereza hiki cha sasa inabidi isomeke "TANZANIA INCOME AUTHORITY – yaani Mamlaka ya Mapato Tanzania" ili kuleta maana halisi.
Naleta hoja hii hapa jamvini ili kuweza kutofautisha haya maneno kati ya ‘USHURU' na ‘MAPATO'. Haya ni maneno mawili tofauti ambapo hata hapo TRA yenyewe hivi ni vitengo viwili tofauti vilivyo na makamishina tofauti pia.
Naombeni mwanga zaidi.

Nawasilisha
 
Revenue is money that a company, organization, or GOVERNMENT receives from people
 
Revenue=Ushuru? I really doubt!
the same doubt is what drove me to bring this matter here.
As it is commonly spoken by many Tanzanian:
At the ports and borders the collections are called USHURU while INCOME TAXES deals with domestic collections. Am I collect??

 
Income Authority? Inabidi uelewe tofauti kati ya INCOME na REVENUE......LAKINI KATU INCOME SIO USHURU.....ushuru ni ''duty''

Revenue (sometimes called sales) refers to all the money a company takes in from doing what it does - whether making goods or providing services. Other sources of funds - including investment gains - are usually labeled as such but also included as revenue. (Occasionally, you'll see this number referred to as "gross income.")


"Net income" is the phrase commonly used to refer to a company's "profit." It represents how much money the company has left over, if any, after it's paid the costs of doing business - payroll, raw materials, taxes, interest on loans, etc..
The real issue is what goes into that income number. There are many flavors: "income from continuing operations," for example, includes profits made this year from the same businesses, plans, and services that were around a year ago. (Operations that were sold or closed are excluded, on the theory that they won't generate any more money for investors.) Some people like to look at EBITDA-a gobbledygook Wall Street phrase that means earnings before interest, taxes, depreciation and amortization. In other words, income before those costs have been subtracted.


Over time, companies began to exclude all sorts of things from their "operating income" - with the effect of artificially inflating the profits they reported. When a company pays stock options to executives, for example, those don't count as "costs" - even though many analysts and accountants think they should.
About the best you can do is try to compare apples to apples - from one quarter to the next, or one company to another. But even that takes a bit of digging.
 
Heshima mbele wakuu.
Nimeamua kupitia huku leo baada ya kutatizwa na haya maneno ambayo machoni pa wengi yanatumika tu ila binafsi naona kasoro zifuatazo.
Taasisi ya kukusanya kodi Tanzania inaitwa TANZANIA REVENUE AUTHORITY ambapo kwa tafsiri nyepesi ya Kiswahili fasaha yaweza kuwa "MAMLAKA YA USHURU TANZANIA".
Kwa Kiingereza hiki cha sasa inabidi isomeke "TANZANIA INCOME AUTHORITY – yaani Mamlaka ya Mapato Tanzania" ili kuleta maana halisi.
Naleta hoja hii hapa jamvini ili kuweza kutofautisha haya maneno kati ya ‘USHURU' na ‘MAPATO'. Haya ni maneno mawili tofauti ambapo hata hapo TRA yenyewe hivi ni vitengo viwili tofauti vilivyo na makamishina tofauti pia.
Naombeni mwanga zaidi.

Nawasilisha

Hata queen nae kakosea? HM Revenue & Customs: Home Page HM Revenue & Customs
 
Back
Top Bottom