ukiwa na GPA kubwa unatakiwa uwe mwalimu vyuoni ili usaidie kuandaa wataalam wengine sio kwenda kuua taaluma yako kisa tu rushwa nchi hii imeoza ndo maana professors na doctors wengi wanakimbilia kwenye siasa.Walisema wanataka upper second. Sio kazi yao ya ku specify upper second ya aina gani....
Upper second ya 3.9 haina jina maalum...
Furthermore, application zilikuwa nyingi sana. Wangeanza 3,5 ingebidi watoe aptitude test za watu 1,500. Not cost effective when looking for 40 people