Tra ihamishiwe utumishi

Walisema wanataka upper second. Sio kazi yao ya ku specify upper second ya aina gani....

Upper second ya 3.9 haina jina maalum...

Furthermore, application zilikuwa nyingi sana. Wangeanza 3,5 ingebidi watoe aptitude test za watu 1,500. Not cost effective when looking for 40 people
ukiwa na GPA kubwa unatakiwa uwe mwalimu vyuoni ili usaidie kuandaa wataalam wengine sio kwenda kuua taaluma yako kisa tu rushwa nchi hii imeoza ndo maana professors na doctors wengi wanakimbilia kwenye siasa.
 
Swala la GPA wala halimfanyi mtu apate kazi. Kuna watu wanakuwa na matokeo mazuri lakini wanashindwa interview! Jiulize sasa! Kuna kitu cha ziada hapo tra na siyo gpa
 
Mi kwa mtizamo wangu nadhani jamaa wa utumishi wana nafuu kwa asilimia kubwa sana, ukilinganisha na tra, kuna watu utakuta bado yupo chuoni lakini tayari ana kazi tra, ashawekewa na ndugu yake kwa sababu ni bosi kitengo fulani akimaliza tu mnashanga anakwenda kuripoti bila hata ya kusailiwa na unakuta hata hana GPA kubwa kihivyo kama sifa ya kuajiriwa na hawa jamaa sababu kubwa ni nepotism.

Note: GPA kubwa sio kigezo cha ufanisi katika kazi
 
Naomba kuwasilisha na kupata mawazo na michango yenu wana jf hivi mnaonaje ajira za tra zikawa zinatangazwa na utumishi angalau kupunguza undugu na usiri wanaoufanya hawa jamaa wa tra, kwa sababu hawa jamaa wamezidi kuajiriana kwa kujuana sanaaa afadhali hata hawa wa utumishi sie watoto wa wakulima tunaitwaga mara chache kwenye hizo interview zao.


Note: Ni idea tu imenijia nikaona nipate michango chanya kutoka kwa wana jf na mitazamo ya great thinkers wa jukwaa la kazi na tenda

TRA hata waliosoma pale chuo cha kodi (TRA_ITA) kupata ajira pale ni shughuli pamoja na kwamba wanakuwa wamewafundisha na kufanya nao kazi kama field kwa kipindi chote walichosoma hiyo postgradute diploma ni taxation kwa miezi 18 na jamaa unakuta wana either upper or lower second class. Mi nadhani kupata kazi TRA ni bahati tu.
 
Walisema wanataka upper second. Sio kazi yao ya ku specify upper second ya aina gani....

Upper second ya 3.9 haina jina maalum...

Furthermore, application zilikuwa nyingi sana. Wangeanza 3,5 ingebidi watoe aptitude test za watu 1,500. Not cost effective when looking for 40 people

ndugu nimekukuba 4 ur reasoning j3 tupo pamoja darasani tumshukuru mungu tumejituma vyuoni na mungu katubariki.
my advise: tufunge huu mjadala jf wa customs officer 4 nw tusonge mbele tusiwe wapayukaji hata kazi hatuijui mlio kosa tunawaombea kila la heri kama ni mungu ndo amekuleta duniani basi jua riziki yako anaijua pia.
Ndugu majasho ulikosa uvumilivu bt siku inakaribia kuwadia utajua huko tufunge mjadala twende tukajifunze kazi tuwe watendaji waaminifu na kuleta tija kwenye taifa letu tuijenge nchi yetu.
GOD BLESS YOU ALL
 
Hapa naona hoja hamna. Swali....

Application za kazi 40 zinakuja 12,000. Unatumie vigezo gani kuchuja wafike watu 300 ili wawe interviewed.

Huko utumishi na watawachuja vipi?

Riddle me that...

Kwa hiyo unataka kuniambia mtu mwenye GPA ndogo automatically anakuwa amebaguliwa na mfumo wa elimu? Kwani aliyeweka mafungu ya GPA alikuwa na maana gani? Kama ni GPA ndo kigezo basi itungwe sheria kwamba GPA ya daraja fulani waombe kazi TRA; hii wafanye kazi Railway; aina hii na hii wafanye kazi kwa wahindi viwandani; na aina hii wafanye kazi mashambani. Hapo ndo maana ya GPA itaonekana.
 
Hee nimekosa tena tra jaman so sad, last time kuna kuna friend wang aliomba alikuwa na Cpa ila walimpiga chin Tra si mchezo.
 
wana JF naona nami hamna hoja.Muhimu ni kuangalia hasara tunayoipata kwa hawa TRA kuwa ndio kila kitu na imani yetu kwa UTUMISHI ikiwa kweli tatizo litatatuliwa.Na si kulumbana.Maana hawa jama wamezidi hata mfagiaji ni mchaga
 
Mi nakubaliana na mleta UZI kazi za TRA,NSSF,PPF na mamlaka zote za kiserikali kumejaa sana urasimu katika ajira.undugu,udini mfano NSSF na ukabila ndo mpango mzima huko,kwa mliopata fairly huko ni bahati yenu tu,wengi ni kwa kubebwa. Suala la GPA sio ishu kwanza linategemea na chuo ulichosomea first class ya IFM,SAUT,TUMAINI n.k ni sawa na lower second ya UDSM.hicho kigezo sio fair kwa watu wa UDSM na SUA huko elimu ni tyt sana na hakuna mianya ya maksi za kununua na za CHUPI. anaebisha acha abishe kwasababu walimu wa UDSM ndo wanafundsha hvyo vyuo kwa part tym na mara nyingi hupewa maelekezo ya kuhakikisha wanafunzi wanafaulu sana!!! atlest utumishi is more fair watoto wa wakulima wengi wanapata nafasi
 
Back
Top Bottom