zilipigwa bilion 600 kwenye ujenzi huo uchunguzi upo unaendelea ingawa wanajua ukweli yaani A - zWapiii ujenzi umesimama huu mwezi wa 3 kisa? Magu kasema.uchunguzi ufanywe kisa? kuna dalili za rushwa
zilipigwa bilion 600 kwenye ujenzi huo uchunguzi upo unaendelea ingawa wanajua ukweli yaani A - zWapiii ujenzi umesimama huu mwezi wa 3 kisa? Magu kasema.uchunguzi ufanywe kisa? kuna dalili za rushwa
Wanaongeza wido wa walipa kodi
Zawadi toka ulaya china marekani nk kwa sasa ni Sumu kwa mtoa Zawadi ukifika nayo Airport unajuta unagundua ni bora ungekuja na pesa ununue Tv kkoo maana hiyo ya nje inspigwa ushuru wa kutisha sasa,Uchoya wa zawadii umeshika kasi sasaNdio maana watu wanabuni njia za ukwepaji kodi na ushuru. Yaani mtengenezaji wa tv pamoja na ubunifu wake wote anauza tv bei chee halafu inatokea mijitu inataka ushuru mara mbili na zaidi ya bei ya kiwandani.
Kabisa.Hebu fikiria kuna mtanzania kaka miaka marekani hajawahi lipa kodi Tanzania hata shilingi mia.Kodi zote analipa wamarekani.Sasa siku akija anakuja na masanduku ya nguo makubwa aje auzie machinga dar anasingizia zawadi!!!!! Ukimdai kodi anawaka.Kodi ni ya kila mtanzania wa ndani na wa nje ya nchi haibagui.Huyu wa nje ni kumsubiria Airport akiingia na masanduku yake ya kuua mtu yaliyosheni chupi 100 za zawadi ,sidiria 500 za zawadi nk
Elimu anayo ndio maana anajuwa kuandika sema lugha! [emoji23][emoji23][emoji23].....
.....elimu elimu Mkuu
Umekariri kuwa watu walikuwa wanaishi marekani miaka na miaka?...Acha umbumbumbu!Kabisa.Hebu fikiria kuna mtanzania kaka miaka marekani hajawahi lipa kodi Tanzania hata shilingi mia.Kodi zote analipa wamarekani.Sasa siku akija anakuja na masanduku ya nguo makubwa aje auzie machinga dar anasingizia zawadi!!!!! Ukimdai kodi anawaka.Kodi ni ya kila mtanzania wa ndani na wa nje ya nchi haibagui.Huyu wa nje ni kumsubiria Airport akiingia na masanduku yake ya kuua mtu yaliyosheni chupi 100 za zawadi ,sidiria 500 za zawadi nk
Hii sasa imetosha na ni aibu kwa taifa. TRA inavuka mipaka ya ubinadamu. Hii ni pale uwanja wa Ndege wa JKNIA . Shame on you. Watu wanalia Airport, yaani wanafikia hatua ya kuvuruga nguo za watu hivi wanatafuta vitu vya kutoza ushuru. Shame on you
Last week, katika issue tofauti kabisa, rafiki yangu alinunua used small 27inch LG TV Kwa $90 Singapore . Alipofika walimmbambikizia ushuru wa laki mbili. Alishindwa na kuwaachia TRA.......Kipindi cha kikwete TRA walikuwa na aibu. Hawa hawana. Pathetic animals
You should focus on businesses and drugs. Stop harassing travelers
TRA ya ccm inatoza kodi kubwa kuliko hata gharama ya bidhaa kutokea kiwandani pamoja na shipping.Zawadi toka ulaya china marekani nk kwa sasa ni Sumu kwa mtoa Zawadi ukifika nayo Airport unajuta unagundua ni bora ungekuja na pesa ununue Tv kkoo maana hiyo ya nje inspigwa ushuru wa kutisha sasa,Uchoya wa zawadii umeshika kasi sasa
Kosa lake ni Ukenya wake ama ni kuongea kwake ukweli?Halafu wewe mleta maada mkenya NAIROBIAN nilishakuonya mara nyingi hili ni jukwaa la watanzania.Si uende kwenu kenya mkaongelee mambo yenu ya ukabila yasiyoisha.
Wametumwa pesa. Awamu hii wanafanya kazi kwa sifa kwasbb wamepewa kibali na malaika mkuu kwahiyo kazi kwetu.leten sheria ya kodi kwa vitu gan hasa vya biashara au kutumia home
Ni kweli wametumwa pesa kwa ajili ya Lipumba kwani sasa ndiyo mjanja wao huko CCM pesa za viwanda na mapato kule Hazina zote anagawiwa pande kwa ajili ya kuzitumia kuua CUF na kudhoofisha Ukawa,cha kufanya ni watanzania wanaopita Airport kuacha kuja na Zawadi wala kufanya shopping huko Ulaya na America wawe wachoyo kwa mda ndugu watawaelewa tu maana watanzania wengi ni waelewa wanajua Usumbufu uliopo Airport.Wametumwa pesa. Awamu hii wanafanya kazi kwa sifa kwasbb wamepewa kibali na malaika mkuu kwahiyo kazi kwetu.