TRA, Hii ni Aibu kwa Taifa

TRA, Hii ni Aibu kwa Taifa

Zawadi,shopping ziachwe kwa mda watumieni ndugu zenu pesa wanunue nguo kkoo au hata mitumba huko walipo ili wapenda Rushwa Airport wasote njaa kwa mda wajifunze ubinadamu.
 
TRA ya ccm inatoza kodi kubwa kuliko hata gharama ya bidhaa kutokea kiwandani pamoja na shipping.
Kodi yenyewe pesa zote anapelekewa Lipumba azitumie kwenye kuua CUF ni bora pesa ingekuwa inakusanywa na kujenga viwanda na maendeleo kujenga Hosptal za rufaa kila mkoa na Dsm na pwani kule Bagamoyo ingejengwa Hosptal kubwa kama Apolo waajiriwe madaktari toka India wagonjwa wote wa Africa waje kutibiwa kama ilivyokuwa South Africa.
 
Kodi yenyewe pesa zote anapelekewa Lipumba azitumie kwenye kuua CUF ni bora pesa ingekuwa inakusanywa na kujenga viwanda na maendeleo kujenga Hosptal za rufaa kila mkoa na Dsm na pwani kule Bagamoyo ingejengwa Hosptal kubwa kama Apolo waajiriwe madaktari toka India wagonjwa wote wa Africa waje kutibiwa kama ilivyokuwa South Africa.
Nani ajenge hospitali kwa ajili ya maskini wakati wao wakiumwa wanaenda kutibiwa nje ya nchi?
 
Kuna ushahidi wowote ni TRA ndio waliovuruga ilo sanduku?

Clip yenyewe na kilichoandikwa ni tofauti! Kuna na faida gani ya kurekodi kama urekodi kosa likiwa linafanyika?!

Kwa nini wakati wa kurekodi huyo dada hakuuliza maswali ambayo yangeashiria kilichoandikwa hapa?
 
Mimi ninavyojua kama uja disclosed kwenye form vitu vinavyopaswa kulipiwa kodi kuna faini?
 
They said it was new. True I bought it out of the country but had used it three or four times,
I would they know that?
Mimi ninaweza kununua dukani laptop mpya nje ya nchi nikaitoa kwenye boksi halafu airport nikadai ni used!
 
Watu wanazidisha chumvi sana, nmepita airport tar 16 nilikuwa na mizigo ya mabegi yenye nguo zangu mpya,Tv ya inch 46 na begi la saa za biashara,watu wa tra pale niliwaelezea na hawakunicharge nguo,walinicharge saa na Tv(ambayo wanasema ni lazima ulipie,iwe yako au ya biashara).Shida yetu kubwa tunapenda uongo na tunataka tupitishe vitu tu bure hata kama ni vya biashara
 
Hivi wewe hauna hata aibu? Huyo Dada kwenye video kabeba nini? Aisee nyie ndio wale roho mbaya vinuka makwapa. Njaa mbaya

Waambie TRA wakakusanye kodi GSM..

Wewe mwenyewe unaonekana arrogant, mbishi na mwenye jazba. Kwa hiyo sishangai kwanini hao TRA JNIA wana ku-seek out, na kukukomesha. Wengi wanaruhusiwa kupita bila hata kusachiwa, ni watu kama wewe wenye majivuno ndiyo mnapewa shida na customs/TRA sababu wanakusoma kuanzia body language, kauli, mavazi, etc. Acha mbwewe kaka, hakuna anayetaka4 kujua una macbook uliyotumia siku 3 tu. Halafu kwa taarifa yako, hiyo laptop ulitakiwa kulipia ushuru kwa vile hukuitumia kwa kipindi cha miezi 6 au zaidi.
 
kama hali ndo hiyo wataanza hata kutoza nguo tulizovaa wakiulia ulununua wapi na leta risit. kha!
 
ndugu zangu tusilaumu kila kitu, ninavyojua mimi TRA wanasimamia sheria na sio vinginevyo.tatizo watu hatutaki kufuata utaratibu unataka kama kitu kinatozwa kodi usitozwe kwa sababu nyepesi, mi naona hawa watu wamepewa jukumu la kukusanya mapato, tuwape ushirikiano.
 
Vipi kama ulienda nayo huko ulikoenda na kurudi nayo?

How do they figure that?
Mkuu
Huku nje kama umenunua bidhaa ya tumia ukifika airport unadai tax sijui vat return, lazima utoe resiti, sasa ikiwa unaingia Tanzania unatozwa kodi, jee ukitoka na bizaa japo ni personal things umenunua ndani na unatoka njee jee pale airport tra wanarudisha hio tax return?
 
Back
Top Bottom