Ni wiki ya tatu sasa tangu leseni yangu ya gari imeisha muda wake. Nilikwenda ku-renew wakaniambia nirudi baada ya wiki 2 maana materials za kutengeneza license zimewaishia.
Nilivyorudi wakasema bado hawajapata materials nirudi baada ya wiki moja
Nimerudi tena baada ya wiki moja wanasema bado hazijatengenezwa.
Inawezekana tatizo ni materials au kampuni ambayo inawatengenezea wameshindwana? Kwa kweli hii kitu ni uzembe wa hali ya juu.
TRA jitahidini kwenda na hii speed ya viwanda na biashara
updates
leseni zimeanza kutoka tena.. leo tarehe 26/7 nimeikuta leseni yangu ipo tayari baada ya kuisubiri zaidi ya miezi 2
Nilivyorudi wakasema bado hawajapata materials nirudi baada ya wiki moja
Nimerudi tena baada ya wiki moja wanasema bado hazijatengenezwa.
Inawezekana tatizo ni materials au kampuni ambayo inawatengenezea wameshindwana? Kwa kweli hii kitu ni uzembe wa hali ya juu.
TRA jitahidini kwenda na hii speed ya viwanda na biashara
updates
leseni zimeanza kutoka tena.. leo tarehe 26/7 nimeikuta leseni yangu ipo tayari baada ya kuisubiri zaidi ya miezi 2