mimi naungana na wewe. TRA inabidi baadhi ya vitengo wavioutsource. kitengo cha driving license ndio rahisi kabisa kuwa outsourced Lazima efficiency itakuwa nzuriNimekuelewa mkuu Elninho,wewe huoni kuwa hawa TRA wamebebeshwa majukumu mengi mno,kwanza mapato yanayotokana na hizi leseni zilitakiwa kiwe moja ya vyanzo vya mapato kwa serikali za mitaa,na haya magari ilibidi yasajiliwe kimkoa ,na vile vile driving licence ni traffic walitakiwa ndio wawe wana fanya hizi driving test na driving licence,vile vile hawa traffic ndio walitakiwa wawe wanafanya roadworthy na mapato yote yanaingia kwenye local gov.TRA wao wasimamie vyanzo vikubwa vya mapato,kama migodi,income tax,etc,vile vile wawe na kitengo maalum cha kuweza ku infiltrate syndicates zinazokwepa kulipa kodi na kuathiri uchumi wetu,sio kukumbizana na vijipato vya licences.
kuna tatitzo sehemu..Yawezekana kuwa kweli. Hata material yanayotumika kutengeneza visa passport nayo yameisha.
pole sana kamanda. tupo wengiKweli mkuu mimwenyewe wananizungusha wiki ya tano sasa tra ya Tanga kila ukienda unaambiwa tumeishiwa material sasa kama hamkujipanga sibora mturudishie zile za makaratasi tu
TRA ya mkoa upi mkuuNi wiki ya tatu sasa tangu leseni yangu ya gari imeisha muda wake. Nilikwenda ku-renew wakaniambia nirudi baada ya wiki 2 maana materials za kutengeneza license zimewaishia.
Nilivyorudi wakasema bado hawajapata materials nirudi baada ya wiki moja
Nimerudi tena baada ya wiki moja wanasema bado hazijatengenezwa.
Inawezekana tatizo ni materials au kampuni ambayo inawatengenezea wameshindwana? Kwa kweli hii kitu ni uzembe wa hali ya juu.
TRA jitahidini kwenda na hii speed ya viwanda na biashara
Dar es salaam mkuu..TRA ya mkoa upi mkuu
Najaribu kuwaza tu hivi huko kibiti wanakusanya vipi kodi ya majengo
anhaa yani mpaka leo bado tu...nini tatizoDar es salaam mkuu..
jibu lao ni moja tu. hakuna materials za kutengeneza hizo leseni. Rudi baada ya wiki 2.anhaa yani mpaka leo bado tu...nini tatizo
Mmmh kuna tatizo mahali aseejibu lao ni moja tu. hakuna materials za kutengeneza hizo leseni. Rudi baada ya wiki 2.
ukiendelea kuwauliza wanakuwa wakali kweli kweli. wanasema lipo njee ya uwezo wao



Nadhani ilo tatizo ni la muda mrefu, mimi mwaka Jana nilienda kurenew leseni ilikuwa imekwisha mwezi wa Sita nilipata mwezi wa nane. Nilimtumia kama miezi miwili ivi. Cha Msingi unaendelea kutumia ile ile iliyokwisha Sema kwa sasa ivi matrafiki walivyo chachamaa ile lisiti ya benki, tembea na kopi yake yasije yakakuta ya boko, maana traffic wanapiga BAO kama kuendesha Gari ni kuwa na kosa la JINAINi wiki ya tatu sasa tangu leseni yangu ya gari imeisha muda wake. Nilikwenda ku-renew wakaniambia nirudi baada ya wiki 2 maana materials za kutengeneza license zimewaishia.
Nilivyorudi wakasema bado hawajapata materials nirudi baada ya wiki moja
Nimerudi tena baada ya wiki moja wanasema bado hazijatengenezwa.
Inawezekana tatizo ni materials au kampuni ambayo inawatengenezea wameshindwana? Kwa kweli hii kitu ni uzembe wa hali ya juu.
TRA jitahidini kwenda na hii speed ya viwanda na biashara