Leseni yangu ya udereva iliisha hivyo nikaenda kuirenew karibu mwezi mmoja umeshapita. Pale TRA Samora kila nikienda wananiambia material hakuna lakini naona wengine wanavipata kama kawaida.
Nikamuuliza dogo mmoja akaniambia mpaka nitoe chochote nami nimegoma sababu sioni mantiki ya kutoa rushwa kabisa.
Naombeni ushauri nitumie njia gani nipate leseni yangu kwani nimechoka kutembea na risiti zao tu.
Nikamuuliza dogo mmoja akaniambia mpaka nitoe chochote nami nimegoma sababu sioni mantiki ya kutoa rushwa kabisa.
Naombeni ushauri nitumie njia gani nipate leseni yangu kwani nimechoka kutembea na risiti zao tu.