AbaMukulu
JF-Expert Member
- Jan 1, 2018
- 2,048
- 3,568
Mamlaka ya Mapato Tanzania imeamua kumfanyia kampeni Magufuli kwa style ya aina yake.
Kuna gari ya matangazo ambayo sasa hivi iko kariakoo ikiwatangazia wafanyabiashara kulipa kodi. Gari hiyo imepigwa stika za matangazo ya mgombea wa urais Magufuli.
TRA acheni uhuni huu mara moja kwani nyie ni taasisi iliyohuru. Na kitendo cha kubandika stika kwenye gari hiyo ni kumpendelea mgombea huyo na matumizi mabaya ya kodi zetu wananchi
Kuna gari ya matangazo ambayo sasa hivi iko kariakoo ikiwatangazia wafanyabiashara kulipa kodi. Gari hiyo imepigwa stika za matangazo ya mgombea wa urais Magufuli.
TRA acheni uhuni huu mara moja kwani nyie ni taasisi iliyohuru. Na kitendo cha kubandika stika kwenye gari hiyo ni kumpendelea mgombea huyo na matumizi mabaya ya kodi zetu wananchi