Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,181
- 88,934
Wakuu, kuna watu waliitwa interview TPDC baada ya kupita katika ile mitihani. Vipi mbona hakuna feedback? Mbona hatuambiani Oral ipoje ili na sisi tujiandae?
Kama tulivyowekeana matangazo, tukawekeana majina ya walioitwa written, kisha waliopita kwenda kwenye Oral, basi tufahamishane imekuaje huko? Pannel watu wangapi? Maswali yapoje yapoje?
Shukrani.
Kama tulivyowekeana matangazo, tukawekeana majina ya walioitwa written, kisha waliopita kwenda kwenye Oral, basi tufahamishane imekuaje huko? Pannel watu wangapi? Maswali yapoje yapoje?
Shukrani.