TP Mazembe tupo pamoja na nyinyi kwa hali na mali hapo kesho

Kuna watu wanashida kubwa sana , hawajui mipaka ya uzalendo , what to do and when to do something. Mazembe wenyewe wanawashangaa , Hao wakienda Congo mnafikiri kuna mkongoman atashangilia Lions !! Sijui nani ametuloga tu . Tunatia huruma sana. Nilienda Sheikh Amri Abeid pale Arusha , kunagalia mechi ya Yanga na Oljoro FC , Uwanja mzima umevaa jezi za Njano , Nilikuwa na mgeni akaniuliza which one is the Home team , nikajibu those with Blue akashangaa sana . Sasa Oljoro siku nyingi imeshuka Daraja Arusha hatuna hata team kwenye Ligi kuu !!!
 
Kuna watu wanashida kubwa sana , hawajui mipaka ya uzalendo , what to do and when to do something. Mazembe wenyewe wanawashangaa , Hao wakienda Congo mnafikiri kuna mkongoman atashangilia Lions !! Sijui nani ametuloga tu . Tunatia huruma sana. Nilienda Sheikh Amri Abeid pale Arusha , kunagalia mechi ya Yanga na Oljoro FC , Uwanja mzima umevaa jezi za Njano , Nilikuwa na mgeni akaniuliza which one is the Home team , nikajibu those with Blue akashangaa sana . Sasa Oljoro siku nyingi imeshuka Daraja Arusha hatuna hata team kwenye Ligi kuu !!!
Scroll hadi post No1 uone uzi huu unahusu nini...??
Uzi uliwekwa na mzalendo wa Tp mazembe.... Mutu ya Congo

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
 
Scroll hadi post No1 uone uzi huu unahusu nini...??
Uzi uliwekwa na mzalendo wa Tp mazembe.... Mutu ya Congo

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
Sio sababu pamoja na hayo , wako mashabiki ambao ni Watanzania walishangilia JSaoura , As Vita na Kesho wanatafuta hadi Jezi za TP Wazembe kesho ili wawashangilie.
 
Kuna watu wanashida kubwa sana , hawajui mipaka ya uzalendo , what to do and when to do something. Mazembe wenyewe wanawashangaa , Hao wakienda Congo mnafikiri kuna mkongoman atashangilia Lions !! Sijui nani ametuloga tu . Tunatia huruma sana. Nilienda Sheikh Amri Abeid pale Arusha , kunagalia mechi ya Yanga na Oljoro FC , Uwanja mzima umevaa jezi za Njano , Nilikuwa na mgeni akaniuliza which one is the Home team , nikajibu those with Blue akashangaa sana . Sasa Oljoro siku nyingi imeshuka Daraja Arusha hatuna hata team kwenye Ligi kuu !!!
Tulia Karma iteki effect kwanza baadae ndio ulete hizi pumba za Uzalendo feki wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwwli kabisa mkuu, tuko pamoja nao bana Congo .
Kesho Mungu akipenda pale uwanja wa Taifa, Yanga na TP Mazembe watakipiga. Inashauriwa sana watanzania wote tuweke uzalendo mbele eti Yanga inawakilisha nchi.
Hakuna kitu kama hicho, Yanga inawakilisha Yanga. Nipo huru kuwa timu yeyote na nitakuwa TP Mazembe na wenzangu tunaokerwa na Yanga. Tayari nimesha-bet Yanga itapigwa 0-2.
Sababu zipo nyingi lakini kubwa ni kwamba Yanga wanadharau sana na wamejaa majivuno kwa club za ndani.
Msemaji wao amekuwa akirusha kashfa na matusi kwa kila aliye mbele yake mwenye mawazo kinzani. Kwa kuwa Yanga haijawahi kumchukulia hatua naamini wanamtuma kufanya hayo madudu. Juzi kwa kejeli alitutaka mashabiki wa Simba tuipe sapoti Yanga, lakini akaongeza tusipoipa watatushusha daraja msimu ujao.Hizi ni kauli za Ujuha na upumbavu uliokidhiri.
TP Mazembe tupo pamoja na nyinyi kwa hali na mali hapo kesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio sababu pamoja na hayo , wako mashabiki ambao ni Watanzania walishangilia JSaoura , As Vita na Kesho wanatafuta hadi Jezi za TP Wazembe kesho ili wawashangilie.
Acha kwanza Deni lilipwe kisha ndio tuje tujadili uzalendo

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
 
Kesho Mungu akipenda pale uwanja wa Taifa, Yanga na TP Mazembe watakipiga. Inashauriwa sana watanzania wote tuweke uzalendo mbele eti Yanga inawakilisha nchi.
Hakuna kitu kama hicho, Yanga inawakilisha Yanga. Nipo huru kuwa timu yeyote na nitakuwa TP Mazembe na wenzangu tunaokerwa na Yanga. Tayari nimesha-bet Yanga itapigwa 0-2.
Sababu zipo nyingi lakini kubwa ni kwamba Yanga wanadharau sana na wamejaa majivuno kwa club za ndani.
Msemaji wao amekuwa akirusha kashfa na matusi kwa kila aliye mbele yake mwenye mawazo kinzani. Kwa kuwa Yanga haijawahi kumchukulia hatua naamini wanamtuma kufanya hayo madudu. Juzi kwa kejeli alitutaka mashabiki wa Simba tuipe sapoti Yanga, lakini akaongeza tusipoipa watatushusha daraja msimu ujao.Hizi ni kauli za Ujuha na upumbavu uliokidhiri.
TP Mazembe tupo pamoja na nyinyi kwa hali na mali hapo kesho
Sijawahi ipenda yanga, na wala sitaki ushabiki wao wa kinafiki. Waendelee kushabikia timu dhidi ya simba.
 
Back
Top Bottom