binti miss
Member
- Jul 29, 2017
- 91
- 169
Guys I want to buy a car by next month or October nina budget ya 23mil which car should I go for between those three?
Pls ushauri which is the best car kulingana na hali ya uchumi ya sasa. Kwa mfano mimi kwa mwezi gari nitakayoinunua nimeiandalia budget ya mafuta ya laki 3 kwa mwezi pamoja na gharama zingine za hapa na pale, the place I live mpaka kazini ni 2.5km only.
Pls ushauri which is the best car kulingana na hali ya uchumi ya sasa. Kwa mfano mimi kwa mwezi gari nitakayoinunua nimeiandalia budget ya mafuta ya laki 3 kwa mwezi pamoja na gharama zingine za hapa na pale, the place I live mpaka kazini ni 2.5km only.