de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 10,964
- 21,712
Wanabodi bila shaka mmamka salama na kuanza week hii mpya. Dua ziwaendee wale wenye changamoto.
Niruke kwenye mada moja kwa moja.
Nataka kujua utaratibu wa kusajili brand na kupata hakimiliki (copyright) hapa Tanzania. Mchakato unaanzaje, na ni vitu gani vinavyohitajika?
Nataka ins and out za namna ya kufanya kusajili pamoja na gharama husika.
Niruke kwenye mada moja kwa moja.
Nataka kujua utaratibu wa kusajili brand na kupata hakimiliki (copyright) hapa Tanzania. Mchakato unaanzaje, na ni vitu gani vinavyohitajika?
Nataka ins and out za namna ya kufanya kusajili pamoja na gharama husika.