Msaada wa process ya kusajili brand Tanzania

Msaada wa process ya kusajili brand Tanzania

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
10,964
Reaction score
21,712
Wanabodi bila shaka mmamka salama na kuanza week hii mpya. Dua ziwaendee wale wenye changamoto.

Niruke kwenye mada moja kwa moja.

Nataka kujua utaratibu wa kusajili brand na kupata hakimiliki (copyright) hapa Tanzania. Mchakato unaanzaje, na ni vitu gani vinavyohitajika?

Nataka ins and out za namna ya kufanya kusajili pamoja na gharama husika.
 
Back
Top Bottom