Toyota mark ii gx 100 ya mwaka 2000

Mmmmh jamani. Unywaji wa mafuta wa gari yoyote unategemea mtumiaji vilevile. msiharibu biashara ya mwenzenu. Mie ninayo ya 1997. Niliinunua 2006 lakini inapiga hadi 9km/l

mkuu ni watu kutoelewa masuala ya mitambo,kwani kilomete zikiwa nyingi piston zinaongezeka ukubwa?au inavuja?sipati picha.
 
Mkuu hapo bado hujaweka na gharama za clearing agent, pamoja na port charges! Ukikutana na usumbufu gari yako ikaganda bandarini zaidi ya siku saba itakula kwako.

kweli ukiongeza port charge lets say laki na nusu,ongeza na agent laki1 mpaka3. Si mchezo. Hapo hujaibiwa radio/ p.windows au gear box, n.k . Hujafanya service,nyingne zinakuja ktk hali mbaya,yan unaweza kupauka uso kama vi hela vya mawazo!
 
Mie naomba mnisaidie kuuliza sio ujinga. nini maana ya CIF na CFO

mkuu uko serious? Ok. Hapa CIF =Cost,Freight na Insurance. Hapa ina maana ukinunua mzigo nchi yoyote at Cif cost,we utausubiri bandari iliyo karibu na nchi yako au unakoishi kama ni karibu na bandari. Wakati mwingine watu ununua mzigo at CF cost yani Cost and freight bila insurance,hapa mzigo ukipotea au meli kuzama hauna jinsi ya kufidiwa. Last,kuna FOB yan Free on Board. Hapa muuzaji akishafikisha bandari iliyokaribu na nchi yake,lets say japan,huweza mzigo hapo akiassume we utau handle tokea hapo! Ina maana unapaswa uende au uwe na mtu mwingine wa ku handle mzigo tangu unapopakiwa melini mpaka ukufikie. Upo hapo? Swali jingine mkuu?
 
Kma CIF NI 3100 kuja kutoa bandarini na mpaka kuanza kutumia si chini ya dola 3000 tena.
Hivyo basi kwa approximate itakuwa ni kama dola 6000 USD X 1500=9000,000 TZSH.
hAYO ni makadirio inaweza ikajuu kidogo au chini kidogo.
sasa kazi kwako, pia ongeza na mda na usumbufu.

Hii bei umepigaje mahesabu na kama haina kodi ya uchakavu????????
 
Back
Top Bottom