Toyota ist

Toyota ist

Ninayo ist black color ina two weeks tangu imeingia nauza na ndo shughuli yangu
 
Acha Urongo hakuna ist yenye engine kubwa ya cc 1920 hyo engine itakaaje hizo labda ni gx 100 zina 1G ambazo cc 1990, kama hujui nyamaza, ni 1290 cc au cc 1490 kuna 1NZ AU 2NZ


Sorry engine capacity za IST ni 1290 CC na zipo Nz na 2NZ. Samahani kwa usumbufu nilichanganya tarakimu.

Pole sana na ahsantum kwa kunionyesha kosa langu.

Shukran na Mola akubariki.
 
Naomba ufafanuzi kuhusu 1nz.....utaijuaje. Naomba picha utueke na hapa pia

Kwamimi nilivyododosa..... 1nz ni engine zile za cc 1490 na 2nz ni hizi ndogo za cc1290...
 
we mwenye mil 6 ongeza to 9mil nikupe yangu ni CBX, ina km 90000,ina hali nzuri haina mikwaruzo ni nyeupe
 
Milioni 6 IST hupati mjini hapa,budget ndogo utauziwa mbovu bure
 
Nadhani ni vizuri angepewa option ya kuagiaza na gharama zake, jee akiagiza mwenyewe hiyo ist itamugharimu kiasi gani hadi kutoa bandarini????
 
Nadhani ni vizuri angepewa option ya kuagiaza na gharama zake, jee akiagiza mwenyewe hiyo ist itamugharimu kiasi gani hadi kutoa bandarini????

Uko sawa kaka... CIF itatofautiana kulingana na aina ya gari.... Ila ishu kama kodi nadhani zinakuwa sawa kulingana na miaka.....
 
tumpe msaada kwa budgeti yake ya 6m anaweza agiza gari gani nadhani huo utakuwa msaada tosha kwake, wewe unauza bei gani hiyo yako????
 
tumpe msaada kwa budgeti yake ya 6m anaweza agiza gari gani nadhani huo utakuwa msaada tosha kwake, wewe unauza bei gani hiyo yako????

Kuna mdau anauza IST kwa 12 hapo juu. Kwa Sita huyu jamaa labda apate starlet kwani atanunua CIF 3... Na kodi itamla max 3. Hiyo Sita anaweza pata used hapa kwetu.
 
Back
Top Bottom