Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,981
- 14,750
Dharau sasa mnazidisha watu wa Germany car.... Wacha tubanane humu humu toyota...ni maisha magumu tu tuliyonayo na hamu ya kutaka kuendana na dunia kwa kuwa na ka usafiri ila kununua gari ya mjapani ni sawa na kununua vifaa vya ndani vya mchina
Toyota wametuletea spear zote za magari naskia mauzo ya magari yao bongo yameshuka sana,