Toyota hizi...!

ni maisha magumu tu tuliyonayo na hamu ya kutaka kuendana na dunia kwa kuwa na ka usafiri ila kununua gari ya mjapani ni sawa na kununua vifaa vya ndani vya mchina
Dharau sasa mnazidisha watu wa Germany car.... Wacha tubanane humu humu toyota...

29177699_177273453074307_5600129164863602688_n.jpg

Toyota wametuletea spear zote za magari naskia mauzo ya magari yao bongo yameshuka sana,
 
Kufika salama ni jambo la kumshukuru Mungu... Huu mzinga si wa kitoto... Hata ukiwa road na speed 40 atatoka kichaa huko na speed zake anakuzoa...

60353038_116866909525603_8617815659964792832_n.jpg


60344016_116866846192276_8327902146259320832_n.jpg
 
Hivi ulimuona yule jamaa aliekufa kwenye Hilux? Alibanwa yuko hai kuanzia usiku hadi saa nane hivi ndio akafa anajiona. Yaani watu hawawezi kumtoa wanabaki wanapiga nae stori. Simjui yule jamaa ila roho iliniuma sana. Hatuna rescue team wala nini, ukipata ajali hadi kupata msaada ni masaa, halafu madogo bado wanafanya mchezo na haya magari. Nakumbuka maneno ya yule jamaa 'haya magari haya...'
Bongo au mtoni
 
Lakini ni body mbili tofauti kabisa... Gari za ulaya usalama umezingatiwa mno hasa kwenye body
Hiyo ni car crash,head to head au hit,hapo hata Mjerumani angesanda. Gari za Mjerumani ni stable na kwa issue ya rolling/overturning yanahimili,lakini uso kwa uso,yana salim amri pia.
R.I.P RChunga(sijui ni R Chuga)
 
Aiseee nimekoma kuna siku niko na ipsum yangu natokea mtwara nipo 145+ speed kwa kweli nimejifunza sahv max speed ni 100
Mkuu ilikuaje huko njiani ya makwetu,ulitaka kula za uso na malori ya Dangote nini?
Pole,mrudie Mungu wako kama ulitaka kula mzinga na ukapona.
 
Back
Top Bottom