Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,741
🤔 🤔 hoja fikirishi hiiPicha inamuonyesha marehemu kabla ya ajali,na baada ya ajali...swali MPIGA picha kabla ya ajali nani? maana hii picha inaonyesha imepigiwa kati kati ya safari na marehemu hakuwa peke ake kuna mtu alikua nae na ndie alie mpiga picha,swali ni picha nani kazipiga Hasa hyo ya kwanza marehemu akiwa hai.