naitaji gari aina ya Toyota GR-Mark II kwa shughuli zangu za kawaida, yeyote mwenye nayo na yuko tayari kuuza ani PM niko tayari kuinunua kwa bei isiyo zidi Tsh. milioni 3 ikawa ina hali nzuri-maana kwamba iwe inatembea.
Upate bahati sana kuipata 4C, na iwe haijachoka maana gari hizo ni za mwaka 1990 - 1994 vinginevyo uwe fundi tena Level III (Grade A).
usijali yangu naiamini na hasa kwenye engine njo ukague vyovyote uwezavyo we upo wapi?kama upo dar ingekua rahisi ukague ya kwangu 4s ya 1990 very crean ndani,ila shock up ni za kubadiliDah! ni kweli kiongozi nimeisha angaika sana kuipata, lkn kupitia JF nina imani nitafanikiwa, ninaye fundi mtaalamu ambaye anaweza kuihakiki endapo ikipatikana.
usijali yangu naiamini na hasa kwenye engine njo ukague vyovyote uwezavyo we upo wapi?kama upo dar ingekua rahisi ukague ya kwangu 4s ya 1990 very crean ndani,ila shock up ni za kubadili
naitaji gari aina ya Toyota GR-Mark II kwa shughuli zangu za kawaida, yeyote mwenye nayo na yuko tayari kuuza ani PM niko tayari kuinunua kwa bei isiyo zidi Tsh. milioni 3 ikawa ina hali nzuri-maana kwamba iwe inatembea.
jamaa hakua seriousumeshapata hiyo gari au bado unahitaji?
1998 GR - 4S in desirable condition (nimeshindwa ku-attch photo bt naweza kukutumia). Gari ipo dsm.
Gharama zilizopo kwa mnunuzi:
1) Road lisence for two years
2) AC system haiko poa (Inavujisha-needs to be re-checked)
If interested;you can PM me.
Y're very wrong my friend.