Marashi
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,774
- 4,269
Bei hiyo ya Japan isikuchanganye ukafikiri ni cheap kumiliki gari Japan. Hata mjapani akinunua gari hilo Japan ili alitumie atatakiwa kulipa ushuru nchini mwake kumbuka hilo.Bongo magari bei gali mno. Wakati japani na uarabuni bei cheap sana. Ishu ikifika apa ushulu wake waweza nunua gali lingine kama hilo. Hii nchi imekaa kipumbafu mnoo.