Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Bongo magari bei gali mno. Wakati japani na uarabuni bei cheap sana. Ishu ikifika apa ushulu wake waweza nunua gali lingine kama hilo. Hii nchi imekaa kipumbafu mnoo.
Bei hiyo ya Japan isikuchanganye ukafikiri ni cheap kumiliki gari Japan. Hata mjapani akinunua gari hilo Japan ili alitumie atatakiwa kulipa ushuru nchini mwake kumbuka hilo.
 
Crown ya mwaka 2010 ni fifth generation. Inayoanzia 2009-2013. Kuna sixth generation inaanzia 2013 na kuendelea. Hiyo ndiyo unaweza kusema new model.

Hiyo gari haina hiyo thamani hata kidogo, tena ukizingatia imeishatumika Bongo.

Hapa madalali ndo mnacheleweshaga biashara aisee.

Angalia hiyo Loyal Saloon hapo chini na ni ya 2012.

View attachment 1878615
Unafikiria ukishailipa hio 18M ndio unaenda kuichukua TPA pale bila kulipa kodi mzee! Hio bei aliotaja huyo mwamba wala haina tatizo kabisa maana gari hii ukiongeza na ushuru itagonga 30M au zaidi tena hio ni kwa ambayo utaomba ushushiwe au upewe bei ya 15M toka Japan!

Kodi zetu ni 80%-110% ya CIF value
Ushuru wa hio crown GRS202 ya mwaka 2010!

AF8BA4A5-9279-4BC1-A397-6356004C5D52.png


Ukijumlisha hii 15M+18M ya kununulia Japan pengine tunaweza tukawa tumeelewana!
 
Haufanani

Yani hili linchi linakera mkuu. Unaagiza gari nje likifika hapa ushuru wake unaweza agiza la ziada. Swala hili limekaliwa kimiya kila rais anaeingia madalakani halizungumzii. Kuiona paradise ngumu mno, ukandamizaji na uzulumati umekithiri mno hili linchi.
 
Yani hili linchi linakera mkuu. Unaagiza gari nje likifika hapa ushuru wake unaweza agiza la ziada. Swala hili limekaliwa kimiya kila rais anaeingia madalakani halizungumzii. Kuiona paradise ngumu mno, ukandamizaji na uzulumati umekithiri mno hili linchi.
Umeona hio crown hapo ya 2010 yani bei ni 15M na kuendelea ila ushuru pia ni 15M that is about 100% Tax charged on price of the Car!
Haya mambo ya hovyo yanafanyika Tanzania tu sio pahali pengine! Na sie ndio wamiliki wa Bandari!
 
Crown ya mwaka 2010 ni fifth generation. Inayoanzia 2009-2013. Kuna sixth generation inaanzia 2013 na kuendelea. Hiyo ndiyo unaweza kusema new model.

Hiyo gari haina hiyo thamani hata kidogo, tena ukizingatia imeishatumika Bongo.

Hapa madalali ndo mnacheleweshaga biashara aisee.

Angalia hiyo Loyal Saloon hapo chini na ni ya 2012.

View attachment 1878615
Hapo umeshaweka kodi tayar? Ukitaka kujua bei yake hebu tumia ile calculator ya tra tujionee bei halisi
 
Unafikiria ukishailipa hio 18M ndio unaenda kuichukua TPA pale bila kulipa kodi mzee! Hio bei aliotaja huyo mwamba wala haina tatizo kabisa maana gari hii ukiongeza na ushuru itagonga 30M au zaidi tena hio ni kwa ambayo utaomba ushushiwe au upewe bei ya 15M toka Japan!

Kodi zetu ni 80%-110% ya CIF value
Ushuru wa hio crown GRS202 ya mwaka 2010!

View attachment 1878631

Ukijumlisha hii 15M+18M ya kununulia Japan pengine tunaweza tukawa tumeelewana!
Kodi yake ni Tsh Mil 14. Kumbuka hiyo ni gari ya mwaka 2012. Haijapata mateso yetu ya barabara za Udzungwa. Haijapigwa nyundo na fundi Michael chini ya mwombe.

Mkuu unadhani sina uelewa kiasi hicho basi. Kwamba sijui kama kuna kodi?Nimempa mfano tu.

Chukua kiwango cha uchakavu ilichofikia hiyo gari inayouzwa hapa ili angalau uithaminishe kwa thamani yake halisi.

Kwa upande mwingine najaribu kukueleza, Je! Kama hiyo gari ikifika kwenye mikono ya dalali wetu wa leo unadhani ataiuzaje 🤔🤔

Ataiuza kwa bei ya Land Cruiser 😂😂😂
Ataiuza Milioni 50+😂😂😂😂

Screenshot_20210803-160716.png
 
Kodi yake ni Tsh Mil 14. Kumbuka hiyo ni gari ya mwaka 2012. Haijapata mateso yetu ya barabara za Udzungwa. Haijapigwa nyundo na fundi Michael chini ya mwombe.

Mkuu unadhani sina uelewa kiasi hicho basi. Kwamba sijui kama kuna kodi?Nimempa mfano tu.

Chukua kiwango cha uchakavu ilichofikia hiyo gari inayouzwa hapa ili angalau uithaminishe kwa thamani yake halisi.

Kwa upande mwingine najaribu kukueleza, Je! Kama hiyo gari ikifika kwenye mikono ya dalali wetu wa leo unadhani ataiuzaje 🤔🤔

Ataiuza kwa bei ya Land Cruiser 😂😂😂
Ataiuza Milioni 50+😂😂😂😂

View attachment 1878713
Ni sahihi mkuu ila kwa gari yenye namba DV (likely 3 months ago registration) mi naona bei iko fair tu sababu gari bado inakuwa iko bomba!

Yani ikiwa gari umenunua na usajili wa almost 30M wewe binafsi gari uliotembelea miezi mitatu utaiuza million 10M?

Twende taratibu tu maana huyu jamaa ame claim 22M na likely atapokea hata 20M which doesn’t even justify matumizi ya miezi mitatu hata huko yatokako viwandani gari ya miezi mitatu haiwezi shuka thamani kwa kiwango hicho! Kwangu mie naona bei ni very fair.
 
Crown ya mwaka 2010 ni fifth generation. Inayoanzia 2009-2013. Kuna sixth generation inaanzia 2013 na kuendelea. Hiyo ndiyo unaweza kusema new model.

Hiyo gari haina hiyo thamani hata kidogo, tena ukizingatia imeishatumika Bongo.

Hapa madalali ndo mnacheleweshaga biashara aisee.

Angalia hiyo Loyal Saloon hapo chini na ni ya 2012.

View attachment 1878615
Hii gari bei iko sawa mkuu!
Sema tu ni kwamba ni gari ya kibishoo na wengi hawaziwezi hizo gari kwa sababu zinakula mafuta na maintainance cost ziko juu, ila kwa namba ilioko nayo ya DV ingekuwa ni ka IST hapo mwenye nako angeng’angania hata 12M watu wangekanunua fasta bila kelele!

Hio gari watu mnaishusha sababu ni chuma kizito 😅 ila IST zinauzwa hata za miaka mi nne nyuma ila kwa bei za 9.5M-10M na watu hawazilazii damu iwe DQ,DR,DS,DT na unakuta ni gari ambazo watu walinunua 11.5M zikiwa piru!!!

Sasa imagine kama ishu ni uchakavu gari imetembea bongo miaka 4 ila imeshuka thamani kwa 1.5M tu! Itakuwa hio crown ya miezi kadhaa ndio ishuke thamani kwa million 7, hebu tuwe na huruma jamani!
 
Ni sahihi mkuu ila kwa gari yenye namba DV (likely 3 months ago registration) mi naona bei iko fair tu sababu gari bado inakuwa iko bomba!

Yani ikiwa gari umenunua na usajili wa almost 30M wewe binafsi gari uliotembelea miezi mitatu utaiuza million 10M?

Twende taratibu tu maana huyu jamaa ame claim 22M which doesn’t even justify matumizi ya miezi mitatu hata huko yatokako viwandani gari ya miezi mitatu haiwezi shuka thamani kwa kiwango hicho! Kwangu mie naona bei ni very fair.
DV.. ina zaidi ya miezi mitatu mkuu. sasa hivi tuko na DW.

Hiyo gari imekuwa overrated kwa angalau si chini ya 5M.
 
DV.. ina zaidi ya miezi mitatu mkuu. sasa hivi tuko na DW.

Hiyo gari imekuwa overrated kwa angalau si chini ya 5M.
Sawa ila haifiki sita? Haina miezi sita hio gari toka isajiliwe chief!

Nikuulize tu swali kwanini IST gari ya class ya chini mno kwa Crown iuzwe 10M regardless imetumika zaidi ya miaka mitatu bongo ila unakuta kwa kipindi hicho ilinunuliwa 12M ikiwa piru!?

Je, matumizi ya miaka 3 au zaidi yana justify huo uchakavu wa only 2M kwenye bei halisi ya gari kwa wakati huo! Kwanini??? Ist hata ikiwa namba DM gari ya miaka 5 nyuma huwezi uziwa for less than 9M hasa ikiwa body yake iko safi haina dents? IST number DV mtu anaidaia 11M kwa sasa na hakubembelezi hata kidogo😅
 
Back
Top Bottom