Kuna jamaa ana Harrier yenye cc. 2900 na anasema chuma inanusa tu mafuta eti. Mwaka wa 5 huu jamaa anatembea huku akiwa amekaa.
Hivyo kama kuna mnunuzi wa hii chombo, anunue tu. Asisikilize maneno ya kukatisha tamaa kutoka kwa wamiliki wa Passo, Vits, Suzuki Kei, Suzuki swift, Fekon, King Lion, Boxer, nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.