Tour fupi ya shamba langu la greenhouse

Semina imefanyika na wegi walilalmika ilikuwa sku y kazi so next time tutapnga siku ywknd. Tutawaambi trh nyingine. Nadhni itakuwa mwisho wamwez
 
Kuanzia leo gharama ya mafunzo na semina shambani imepanda hadi 30000 na shamba darasa jingine liko dar na tumeamua hv kwa kuwa wakati mi niko moro watu wengi wanashindwa kupata nafasi ya kutembelea shamba. Hivyo kuanzia leo kutembelea shamba la dar ni 7 days a week. Nipigie nikupe direction. Pia uandae fee mkononi

Hii inakuwezesha siku hiyo baada ya semina shambani uweze nawe kwenda kuanza. Na itakusaidia hata ukiwa na mtaji wa 50000 uweze kuanza
 
Habari za asubuhi.

Kwa wale waliotaka angalau kuona kwa ufupi shamba langu la greenhouse ambalo nimelima nyanya ndani ya greenhouse na nje pia yaani bila greenhouse ila kwa kutumia formula maalumu ya kitaalamu ya kutumia gharama kidogo ila mavuno mengi na makubwa wanaweza ku click hiyo video hapo chini na kuangalia.




0758 308193

Habari kaka hiyo fee ya nni?
 
Ni hv, ka wewe ulishalipia ile 20000 ya mafunzo then utaenda kutembelea shamba darasa bila kulipia. Il km bado then utalipia hiyo 30000 km kiingilio cha kwenda kujifunza kilimo cha kisasa.

Elimu hii ya kutembelea shamba darasa si ya bure.
 
Mimi nililipia 20,000 na kupata formula na maelezo mengine.Lakini sijafika kuona shamba kuthibitisha hizo formula nilizotumiwa.
 
Jamani kwa wakazi wa dar shamba darasa lipo kibamba. Anayetaka kwenda anipigie nimpe directionb
 
Nimepitia pages 1-9; nimefarijika kuona kuwepo kwa watu kama Biashara2000. Ahsante sana kaka. Hakika nimeshawishika kuanza kulima kisasa. Natarajia kulima aidha tikiti, nyanya au tango au yote kwa pamoja. Nitatembelea mashamba darasa nijionee.

Ninaomba kupata mrejesho kutoka kwa wale waliohamasika na wakaingia kwenye kilimo hiki. Tusaidiane kujua changamoto (lazima zitakuwepo), masoko, mafanikio, n.k. Hii itatusaidia wengi kuingia tukiwa "well informed". Ahsanteni
 
Back
Top Bottom