Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,303
Kama Jesus alipigwa picha wakati huo basi technology ya camera, ilianza zamani sana!
Sasa hivi picha za Jesus ziloibuka zinatoka wapi?
Na wapi imeandikwa kwenye Biblia kuwa Jesus alikuwa na muonekano huo?