Kipis
JF-Expert Member
- Jul 23, 2011
- 492
- 61
Shivundu=Mabwepande
Huo unaitwa "UVUNGU" na hiyo sehemu aliyoshika mkono kwenye hips au ukipenda unaweza ukaziita "HANDLE"!!
Shivundu=Mabwepande
Una uhakika sio macho yako yaliyokomaa lol!Mbona wamekomaa hivyo!!!!!
Linah staa wetu hata 20 hajafikisha macho yako tu.Mbona huyo wa katikati mzee??
Wakiweka nywele za dukani kosa wakiacha kipilipili ooh kafanana na dume wabongo kuweni na maamuzi basi.Hilo moja kama dume.
hapo ndipo wanaume tunapogawa funguo za gari
Mzee ICE T hukufanya makosa.
Akaamua kula Nguruwe mnono, Duuuu
Mbona wamekakamaa hivi kama wapo kwenye gwaride la utambulisho?
Mzee ICE T hukufanya makosa.
Akaamua kula Nguruwe mnono, Duuuu
Nadhani umeielewa sasa
Mzee ICE T hukufanya makosa.
Akaamua kula Nguruwe mnono, Duuuu
ni zaidi ya huyu
Mama watoto ni kama huyu au zaidi!View attachment 47502
kaka kama huna wivu na unajioana kuwa una akili timamni niwekee mtoto mmoja basi hapa kwa nini utokwe na mimate bila kuweka vigez hapa? hao watoto ni wakali baabMmmmh, sidhani kama wewe ni mzima na una akili timamu, yaaani hao watu wako uliotuwekea hapa wana uzuri au urembo gani??! Hv ukitumwa upeleke wanawake wazuri au warembo mahali fulani utapeleka hawa rafiki zako waliokata tamaa ya maisha!, rafiki utakuwa unaumwa nenda wakakupime akili huenda akili imekwisha kuruka pasipo kujijua hivyo nakushauri chukua tahadhari!
Hawamfikii mama watoto mapambo tu hao
Umewapata wapi hawa? Mbona kuna kama mmoja namjua hivi? Kama nilimuona facebook hivi!