Totoz za bongo aisee.

Totoz za bongo aisee.

kazi+ipo.jpg


Nadhani umeielewa sasa

mchungaji huyu hafai, bakuli ni kubwa kupita kiasi. nina uzoefu wa hii kitu kwa miaka 22
 
Mkuu mbona sijaona hata mmoja mzuri hapo!Ninachoona ni minywele ya wazungu tu na mikorogo basi!!
 
Mi napita, nkitia neno ntaonekana ninakufuru bure!
 
Maridadi... Lakini.. ee..eee.. ukiwapeleka kwa mama mkwe wao mtarajiwa, nadhani hizo nywele za rangi-rangi zitaleta 'question mark'.
 
Back
Top Bottom