Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,162
- 11,229
![]()
Wachaga msiwashangae wasichana wa kihaya kwa kuongoza kuwa na shape nzuri,haya ni matokeo ya matoke,sato,sangara na mputa.
Hayo matoke,sato,sangara na mputa vinavyotoa shape nzuri ni kwa wanawake tu? Mbona shape za wanaume choka mbaya utafikiri wamepigwa na bomu kulikoni? Huwa hawali au?
kweli upendeleo hudanganya
akivua nguo havutii hivyo?
akivua nguo havutii hivyo?
kweli upendeleo hudanganya
Mbona sie wakaka wa kihaya tupo vizuri tu,mfano mimi nna shape na miguu kuliko hata dada yako.
Hujambo wa kwetu. Habar za huko.
Mbona sie wakaka wa kihaya tupo vizuri tu,mfano mimi nna shape na miguu kuliko hata dada yako.
Hamna kitu hapo,kawaida sana tu,kusini ndio mpango mzima.![]()
Wachaga msiwashangae wasichana wa kihaya kwa kuongoza kuwa na shape nzuri,haya ni matokeo ya matoke,sato,sangara na mputa.
sijambo mwanakwetu..............
karibu huku tunakukumbuka sana