LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,631
Ndo mvuto wenyewe!! Watu tunashangilia mpaka tunadhimia nyimbo zao tunazipenda tu ila mvuto wao ndo unaotuvutia, mfano Ney anatusakamaga kina dada kwenye nyimbo zake ila tumo tuAisee kwa hiyo mnapendaga miili yao na si show zao wanazo perform , duuh hatari