princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 7,553
- 14,381
kuna wasanii hapo weengi hawausiki..
mimi naona byser angekua namba mbili wengine wafutwe.
mimi naona byser angekua namba mbili wengine wafutwe.
aya mkuu sio kesi wala nnMkuu ni wakiume lakini ni wadar!
Unazungumzia uzuri au mvuto? Byser ni mzuri lakini hana mvutokuna wasanii hapo weengi hawausiki..
mimi naona byser angekua namba mbili wengine wafutwe.
Jamaa ni both Mzuri na ana mvuto piaDaaah
Yaan ulivo mkazania huyu jamaa ni shida sasa
Yes namba moja ana mvuto japo si mzuri, watu wanachanganya mvuto na mzuri, unaweza ukawa mzuri lakini usiwe na mvuto, na unaweza ukawa na mvuto lakini usiwe mzuriYaani x bella hapana
Naba moja uko sahihi kabisaaaaàaaaaaaaaaaaaa
Nazungumzia show za jukwaaniUnazungumzia uzuri au mvuto? Byser ni mzuri lakini hana mvuto
sizingumzii uzuri huo nazungumzia perfomance zao jukwaani jinsi wadada wanavyopagawaAlafu watu mna kufuru! Kwa mvuto gani walionao Yamoto band? Au Barnabas mbavu mbwiii kama kundu la nyani Si Bora hata Harmonize ana Romantic body kiasi kuliko hao!!! Mmeangalia baby face au mvuto? Maana kama ni mvuto wa mahaba hata Benpol nae hana hatuvutii, ni akheri aliyetuwekea Kamikaze hapo kaongeza radha yaani simuelewi mtoa Thread Umezungumzia Mvuto au Baby face bora ya hata Ney ana mvuto hakika
Si Dhani kama mtoa post alilenga kwenye uzuri wa jukwaa naona alikwenda mbali zaidi na kuwataja wanawaowavutia kina dada, na kama ni jukwaan shogangu usiseme uongo Diamond ma kiba hawatomfikiwa na uyo dogo hakikaNazungumzia show za jukwaani
Itakua umejichanganya hakika! We ndo umeleta post? Unapimaje mvuto wa wakina dada kwa wasaniii uliowataja ikiwa we mwenyewe haupo kwenye kundi hilo? Si ndo tunakwambia umetusemea uongo na kuna uliotutajia hawana mvuto kwetu, wanwake hatuvutiwi na nyimbo tu kuna vya zaidi na zaidi tunavyowaangalizia jukwaanisizingumzii uzuri huo nazungumzia perfomance zao jukwaani jinsi wadada wanavyopagawa
Tunapagawa na zaidi ya nyimbo zao, ungekuwa mmoja wetu ungeelewa tunazungumzia nn mfano apande uyo Barnabas wako apande na Ney uone watu watavutiwa na nani hapo we bora unge specify wasanii wenye nyimbo nzuri kwa akina dada lakini si kusema mvutowewe kama sio mdau wa kuruka viwanja vitu kama hivi huwezi ukavijua, ila kwa mtu ambaye anafatilia huwa ana waona hawa dada zetu wanavyopagawa hawa wadau niliowataja wakipanda jukwaani kukinukisha
basi kiswahil kilinipiga chenga kidogoTunapagawa na zaidi ya nyimbo zao, ungekuwa mmoja wetu ungeelewa tunazungumzia nn mfano apande uyo Barnabas wako apande na Ney uone watu watavutiwa na nani hapo we bora unge specify wasanii wenye nyimbo nzuri kwa akina dada lakini si kusema mvuto
Kama Msagasumu,Fid Q,Joh Makini hawapo list hii batili
Jiulize kwann kila day wasanii wanapishana Gim kutengeneza mionekano kwani kina professor Zamani walikua hawashangiliwii hahahaaa mvuto baba mvuto tena siku nyingine usiseme tena hii habaribasi kilinipiga chenga kidogo
Aisee kwa hiyo mnapendaga miili yao na si show zao wanazo perform , duuh hatariJiulize kwann kila day wasanii wanapishana Gim kutengeneza mionekano kwani kina professor Zamani walikua hawashangiliwii hahahaaa mvuto baba mvuto tena siku nyingine usiseme tena hii habari