1.Albert mangwair (rip) huyu namkubali hadi kesho .
2.Godzilla ni balaa everybody know.
3.Nikki mbishi hahahaaa huyu jamaa anajijua mwenyewe.
4. Young daresalama anajua sana huyu
5. Young killer Msodoki
Nimegundua Joh Makini mnamchukulia poa sana.
Fid q anastahili hapo
usiniambie kama unamsikiliza nikki mbishi ?
Mdogo angu aliniambukiza eti nisiwe nasikiliza nyimbo mchele mchele asa malcom nani anamdiss hahaahaaaa yule kama hataki vile ila ndio alivyo
Young kila msodoki sio namba moja kweli, alafu young D (young dar es salaama) hawa watoto ni balaa alafu wanachana effortless hawatumii nguvu1.Albert mangwair (rip) huyu namkubali hadi kesho .
2.Godzilla ni balaa everybody know.
3.Nikki mbishi hahahaaa huyu jamaa anajijua mwenyewe.
4. Young daresalama anajua sana huyu
5. Young killer Msodoki
heshima sana kwako, ila nahisi umemsahau Nash Mc, maana, hata kama hana nguzo 5 ila anatumia moja vyemaAiseee hivi nyie akina michepuko Deo Corleone na Alola ni hip hop gani mnaizungumzia ??
1) fid q
2) Nikki Mbishi
3) Stereo & one incredible
5) jay moe
Hao ndio top
Hutaki unaacha wamesimama nguzo za hip hop ukitaka kubisha uwe na vigezo