Top African Nations with the most Chinese debts.

Hahaha, kwa debt to GDP ratio ya 100% maana yake uchumi wenu ni wa kwenye makaratasi. Maana yake hakuna uchumi hapo.

Sisi uchumi wetu ni halisia, tumekuwa tukikuambia sana tu hapa jamvini...

Uchumi upi halisia, vigezo vya kupima uchumi hutumika kitaalam sio hayo mambo yenu ya kinjeketile, tumewazidi kiuchumi mara mbili halafu mnaendelea kujilimbikiza madeni na umaskini wote huo mtabaki mifupa, ukizingatia mlianzisha miradi mikubwa bila kutumia akili ya kudadavua vipau mbele, vyuma vikakaza na miradi yenyewe bado mbali, itawalazimu kuendelea kukopa.

Mkajitutumua kununua mindege ilmradi muonekane mnashindana dhidi ya Kenya, leo hii mnahesabu hasara hizo ndege zinapiga ruti za daladala ndani kwa ndani na kuingiza hasara.
CAG amevumbua wizi ambao haujawahi kutokea, yaani kwa umaskini wote huo mnaiba, mtaua watu sana nyie...

Itabidi mama abuni jopo kazi la wataalam wa kumshauri namna ya kutoka kwenye huo ujuha, huyo mama namtakia kila la kheri yaani siombi akwame maana hana kiburi na haonyeshi chuki chuki za kijinga.
 
Uchumi upi halisia, vigezo vya kupima uchumi hutumika kitaalam sio hayo mambo yenu ya kinjeketile, tumewazidi kiuchumi mara mbili halafu mnaendelea kujilimbikiza madeni na umaskini wote huo mtabaki mifupa, ukizingatia mlianzisha miradi mikubwa bila kutumia akili ya kudadavua vipau mbele, vyuma vikakaza na miradi yenyewe bado mbali, itawalazimu kuendelea kukopa.

Mkajitutumua kununua mindege ilmradi muonekane mnashindana dhidi ya Kenya, leo hii mnahesabu hasara hizo ndege zinapiga ruti za daladala ndani kwa ndani na kuingiza hasara.
CAG amevumbua wizi ambao haujawahi kutokea, yaani kwa umaskini wote huo mnaiba, mtaua watu sana nyie...

Itabidi mama abuni jopo kazi la wataalam wa kumshauri namna ya kutoka kwenye huo ujuha, huyo mama namtakia kila la kheri yaani siombi akwame maana hana kiburi na haonyeshi chuki chuki za kijinga.
Well put
 
Hivi ushawahi ona sisi tunashoboka na nyingi,nyinyi sasa hivi ndio mnaripoti habari zote za Corona Tz sisi hatupost hata moja ya kwenu.

Kafa Rais wetu mkasema kafa kwa Corona wakati tatizo moyo alikuwa nalo tokeaa UDSM na mkatunga eti alikuja Kenya kutibiwa (yaani ni sawa sawa kuomba nguo kwa aliye uchi).

Kafa bibi yake Obama vyombo vyenu vikaripoti kafa baada ya kuugua kwa mda mrefu,vyombo vyetu vya habari hii hawa kuipa kipaumbele.Hata hizo habari zenu za #Unlockourcountry,sijui,MIKOPO na MADENI,MAANDAMANO sisi hatuna time nazo tunaishia kuziona Citzen,Ntv etc sababu hazituhusu.Ila nyinyi kila mtu au kiongozi akifa Tz ,nyie mnasema kafa kwa Corona na kama bibi yake Obama kama angekuwa Mtz vyombo vyenu vingesema kafa kwa Corona.
Pambana na hali yenyu, mama amewaumbua vibaya sana., Yani mko ovyo kila sector, na ka uchumi kadogo, watu wengi, results ni umasikini wa kutupwa kote kote. Yani baba ako na mshahara kidogo na watoto wengi na majukumu kibao.,
dead state.
 
Soon hata Tanzania tunaweza ingia kwenye hiyo kumi bora...Mana mradi wa Bagamoyo ni karibu mara mbili ya deni la Angola.
Sio kweli. Umedanganya. Katafute data tena total costs za Bagamoyo port kama kweli zinazidi hilo deni la Angola.
 
Hivi ushawahi sisi tunashoboka na nyingi,nyinyi sasa hivi ndio mnaripoti habari zote za Corona Tz sisi hatupost hata moja ya kwenu.

Kafa Rais wetu mkasema kafa kwa Corona wakati tatizo alikuwa nalo tolea UDSM na mkatunga eti alikua Kenya kutibiwa (yaani ni sawa sawa kuomba nguo kwa aliye uchi).

Kafa bibi yake Obama vyombo vyenu vikaripoti kafa baada ya kuugua kwa mda mrefu,vyombo vyetu vya habari hii hawa kuipa kipaumbele.Hata hizo habari zetu na #Unlockourcountry,sijui,MIKOPO na MADENI,MAANDAMANO sisi hatuna time nazo tunaishia kuziona Citzen,Ntv etc sababu hazituhusu.Ila nyinyi kila mtu au kiongozi akifa Tz ,nyie mnasema kafa kwa Corona na kama bibi yake Obama kama angekuwa Mtz vyombo vyenu vingesema kafa kwa Corona.
Sasa what are u saying in short, point yako ni ipi? Mko gizani na wengi mpo mpo tu mumezubaa, hamjui lolote unategemea nini kutoka kwa raiya wasio kua na uwezo wa kufikiria zaidi ya pua zao?., Wacha mama awasaidie, akina mama wako na huruma mtapona, wacha kutetea upumbavu uliokua umekithiri.
 
Sasa what are u saying in short, point yako ni ipi? Mko gizani na wengi mpo mpo tu mumezubaa, hamjui lolote unategemea nini kutoka kwa raiya wasio kua na uwezo wa kufikiria zaidi ya pua zao?., Wacha mama awasaidie, akina mama wako na huruma mtapona, wacha kutetea upumbavu uliokua umekithiri.
Nyie ndio hamna uwezo wa kufikiria mnakurupuka.

Swala la chanjo mmekurupuka mmeagiza bila kujua mna variant wa aina gani,wangalieni Wasouth mchakato wao wa kuagiza chanjo.

Na mmekurupuka tena upande wa kukopa,so mtaendelea kupigwa kwani Wachina washawapiga na IMF nao wanawagonga kidogo kidogo.

Mnafanya vitu kwa kukurupuka na mizuka.
 
Nyie ndio hamna uwezo wa kufikiria mnakurupuka.

Swala la chanjo mmekurupuka mmeagiza bila kujua mna variant wa aina gani,wangalieni Wasouth mchakato wao wa kuagiza chanjo.

Na mmekurupuka tena upande wa kukopa,so mtaendelea kupigwa kwani Wachina washawapiga na IMF nao wanawagonga kidogo kidogo.

Mnafanya vitu kwa kukurupuka na mizuka.
Suit yourself kaka. Hauna lolote kushawishi mtu. Pole nawaombea dua.
 
Kwa nchi yenu ilivyo maskini mpaka tumeizidi kiuchumi mara mbili, mikopo yote hiyo mnakopa ya nini.
Miradi ya kimaendeleo,upanuzi wa bandari ya dar, kukarabati reli ya kati,SGR lot 2,dmdp,brt, ....nk
 
Uchumi upi halisia, vigezo vya kupima uchumi hutumika kitaalam sio hayo mambo yenu ya kinjeketile, tumewazidi kiuchumi mara mbili halafu mnaendelea kujilimbikiza madeni na umaskini wote huo mtabaki mifupa, ukizingatia mlianzisha miradi mikubwa bila kutumia akili ya kudadavua vipau mbele, vyuma vikakaza na miradi yenyewe bado mbali, itawalazimu kuendelea kukopa.

Mkajitutumua kununua mindege ilmradi muonekane mnashindana dhidi ya Kenya, leo hii mnahesabu hasara hizo ndege zinapiga ruti za daladala ndani kwa ndani na kuingiza hasara.
CAG amevumbua wizi ambao haujawahi kutokea, yaani kwa umaskini wote huo mnaiba, mtaua watu sana nyie...

Itabidi mama abuni jopo kazi la wataalam wa kumshauri namna ya kutoka kwenye huo ujuha, huyo mama namtakia kila la kheri yaani siombi akwame maana hana kiburi na haonyeshi chuki chuki za kijinga.
This one summarizes everything.
 
Hivi Tanzania deni lenu huwa mnakopa wapi, maana kuna taarifa za denu lenu kuongezeka kimya kimya lakini haieleweki mnakopa kutoka kwa nani...


Watanzania huwa hawajui yanayoendelea hususan kwa mambo ya nchi na serikali yao...vyombo vya habari vimekabwa koo na kutishiwa saana. hiyo wa TZ wengi wako kwenye giza totoro kuhusu yanayo jiri tz. utakuta wana deni kubwa kuliko hata angola, utakuta ndio wafisadi kuliko nchi zote afrika, ndio maana hata wakakaa wiki mbili hawajui alikokua mwenzao...wakati kenya tulishatangaziwa awali
 
Kenya haijashindwa kulipa madeni kama nyie, ni vile ulipaji wa madeni inakula hela ndefu kutoka kwa revenue na inatumia asili Mia kubwa ya budget, na nyinyi juzi kwa hizi report zenyu za kuonyesha mlivyo chemsha walisema pia ndege za air Tanzania haziwezi kuruka nje kwa vile zinaeza kamatwa, lipeni madeni wacha kutuletea aibu EAC!
Wakenya tunachotaka ni uwazi na wala sio kukataa deni....sisi demokrasia yetu inafanya kazi ....hebu jaribuni haya huko tz muone kama hamtokimbilia usalama kama tundu lisuu
 
Kwa hii akili yako finyu, sasa marekani, ama Japan na kadhalika hawana uchumi kamwe, kwa sababu Debt to GDP ratio ya Japan ni 200%., ya USA ni zaidi ya 100%., elewa economics, sio kuropokwa.,
Hahaha, mwenzio Kamwana aliongea hivyo hivyo 3 years ago wakati akina Prof Ndii wanashauri kuacha kukopa kopa hivyo, eti akasema mbona Japan na USA wanaweza:)

Huwezi kujifananisha na nchi zinazo kopa kwa kutumia currency zao wenyewe na ku set the rule of the game kwa wakopeshaji.

USA sets the rule of the game when it comes to the use of US Dollar anywhere in the world. USA akiamua kesho ana print kiasi chochote cha US dollars.

Similarly to Japan hakopi kwa other currencies than Yen. Na pia hukopa internally.

Nyie akina Okech kazi yenu ni kukopa kwa kila bwana mwenye fedha, inasikitisha sana.
 
Hahaha, mwenzio Kamwana aliongea hivyo hivyo 3 years ago wakati akina Prof Ndii wanashauri kuacha kukopa kopa hivyo, eti akasema mbona Japan na USA wanaweza:)

Huwezi kujifananisha na nchi zinazo kopa kwa kutumia currency zao wenyewe na ku set the rule of the game kwa wakopeshaji.

USA sets the rule of the game when it comes to the use of US Dollar anywhere in the world. USA akiamua kesho ana print kiasi chochote cha US dollars.

Similarly to Japan hakopi kwa other currencies than Yen. Na pia hukopa internally.

Nyie akina Okech kazi yenu ni kukopa kwa kila bwana mwenye fedha, inasikitisha sana.
Yote tisa , kumi ni kenya ni nchi tajiri sana kuliko tz
 
Hahaha, mwenzio Kamwana aliongea hivyo hivyo 3 years ago wakati akina Prof Ndii wanashauri kuacha kukopa kopa hivyo, eti akasema mbona Japan na USA wanaweza:)

Huwezi kujifananisha na nchi zinazo kopa kwa kutumia currency zao wenyewe na ku set the rule of the game kwa wakopeshaji.

USA sets the rule of the game when it comes to the use of US Dollar anywhere in the world. USA akiamua kesho ana print kiasi chochote cha US dollars.

Similarly to Japan hakopi kwa other currencies than Yen. Na pia hukopa internally.

Nyie akina Okech kazi yenu ni kukopa kwa kila bwana mwenye fedha, inasikitisha sana.
Jaribu kushirikisha ubongo wa economics in your argument tuone., give it a try, pedestrian reasoning peleka vijiweni kaka , bado hakuna point.
 
Back
Top Bottom