Top 6 Most Romantic Men in Africa

Kuna thread moja ililetwa humu kuhusu maraisi wa africa mashariki na kati wenye sura mbaya. Kenya iliongoza maana raisi wao alikuwa Mwai Kibaki na aliemtangulia alikuwa MOI.. daah! Nilicheka sana maana jamaa waliwaponda wakenya vibaya sana...
 
Wanaume wengi wa Kenya kwenye Mapenzi ni 0,ila kwenye kusaka chapaa wako poa.
 
Baby kila kitu kina muda wake tatizo Bongo mnaishi kwenye filamu siku zote munasahau realities za life kuna wakati wa kazi na wakati wakujirusha full. Hata Ughaibuni kule Marekani hawaishi maisha ya Hollywood siku zote. Mbona tukija huko Tz warembo wa kibongo hawatuachi. Maana sisi tunajua ku-appreciate uzuri wa kike. kwanza mademu wa tanga huniacha hoi kwa jinsi hurembesha kiswahili na lafudhi ya ki-aina yaani natamani nimle mzima mzima.

Si mnachunwa tuu halafu mapenzi wanawaachia wabongo kama kawa kama dawa...
 
Kuna thread moja ililetwa humu kuhusu maraisi wa africa mashariki na kati wenye sura mbaya. Kenya iliongoza maana raisi wao alikuwa Mwai Kibaki na aliemtangulia alikuwa MOI.. daah! Nilicheka sana maana jamaa waliwaponda wakenya vibaya sana...

Hahaha mke wa Kibaki huwa nashindwa kumtofautisha sura yake na waziri wetu mmoja mbabe kama Tyson.... Anaitwa nani? nshamsahau ila atakuwa katokea jirani na kenya huko Mara.
 
Hahahahaha....wakenya wengi wao bado ni "wazima" mkuu.

Wanawaonea wanaume wa Kenya, hata dada zao hawajambo pia.

Kuna yule mama profesa wa mambo ya mazingira.... huyu tumpe PM wetu washindanishwe. Na kuna first lady wa rais wa tatu huyu tumpambanishe na waziri wetu a.k.a Tyson. Mawaziri wetu wataonekana warembo walah.

Kenya naona huwa wanazaliana usiku wakati Mungu kapumzika.
 
Wanawaonea wanaume wa Kenya, hata dada zao hawajambo pia.

Kuna yule mama profesa wa mambo ya mazingira.... huyu tumpe PM wetu washindanishwe. Na kuna first lady wa rais wa tatu huyu tumpambanishe na waziri wetu a.k.a Tyson. Mawaziri wetu wataonekana warembo walah.

Kenya naona huwa wanazaliana usiku wakati Mungu kapumzika.

Duh,aiceeee...
 
Ukweli ni kwamba February mwaka huu siku ya wapendanao (valentine day) vyombo vya habari vya kenya vilisema utafiti umefanyika E.Africa kuhusu Romantic relationship,caring etc.Watz wakaongoza,then Uganda n lastly Rwanda.then kenya na burundi hakuna kitu...reference:radio maisha kenya,ntv etc
 
Ukweli ni kwamba February mwaka huu siku ya wapendanao (valentine day) vyombo vya habari vya kenya vilisema utafiti umefanyika E.Africa kuhusu Romantic relationship,caring etc.Watz wakaongoza,then Uganda n lastly Rwanda.then kenya na burundi hakuna kitu...reference:radio maisha kenya,ntv etc

Kenya muda wote ni kunyooshwa na Alshaabab, watapata wapi muda wa malovee?
 
Kusema ukweli the few Kenyan men that approached me seem to be more romantic
but romantisim yao yenyewe imekaa ya kidhungu kidhungu, na mimi sijazowea so...
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom