Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,447
The Great Gatsby
A star is born
Twilight
Friends with benefits
Ae Dil Hai Mushkil
Honorable Mentions
-Titanic
-Ugly truth
-La la Land
Zipo kibao binafsi huwa najiconsider sinaga favourite ila hapo Ae Dil Mushkil ndio naiangaliaga mara nyingi zaidi... nadhani sabab ya soundtracks.
Nimeanza The great gatsby kwa sababu love stories zinakuwaga na tragic endings, sio happy endings mara zote kama movie zinavyoonyesha.
1. Life in a year
2. Five feet apart
3. All bright places
4. Falling inn love
5.
Baada ya kuiona notebook kwenye list yako ninahisi wewe ndio utakuwa unajua romantic movies za ukweli. Ninashawishika kuichukua list yako, wengine huwa wanataja tu movies za kiluga luga.1. Irreplaceable you
View attachment 1999498
Abbie(gugu mbatha) na Sam hawa walikuwa marafiki toka utotoni baadae waka wapenzi. Abbie alijihisi ana ujauzito lakin mwisho waligungua sio ujauzito bali alikuwa na kansa, sasa Abbie akaanza mchakato wa kumtaftia Sam dem(mwanamke) mwingne wakudate nae pindi yeye atakapo kuwa amefariki.
2.Forevar my girlView attachment 1999499
3. The notebookView attachment 1999503
Allie anapoteza kumbukumbu zake zote Noah anaamua kumsaidia kurecover kumbukumbu zake kwa kumsomea story inayohusu maisha yao ya mapenzi toka siku wanaonana. Mwisho Allie anarudiwa na kumbukumbu zake na anamtambua Noah ni nan (hapo akiwa hospital) mwisho wa siku wanakutwa wakiwa wamefariki wakiwa wamekumbatiana .
4.love, RosieView attachment 1999501
Rosie na Alex walikuwa washikaji(marafiki) sana toka utotoni. Tatzo linaanza pale kila mmoja anapoanza kuwa na feelings kwa mwenzie lakin anazuga(anajidai) kama vile rafiki tu mwisho wa siku kila mtu anajikuta anaingia kwenye mahusiano na mtu ambaye sio sahihi.
5. Fault in our starsView attachment 1999500
Nyongeza:
Me before youView attachment 1999502
sanam teri kasamView attachment 1999601
The Light Between OceansView attachment 1999610
Anza na love Rosie hii movie ina kitu cha mhimu sana ambacho watu wengi wanakipitia lakin wana ignore ukweli na kuishia kuumiaBaada ya kuiona notebook kwenye list yako ninahisi wewe ndio utakuwa unajua romantic movies za ukweli. Ninashawishika kuichukua list yako, wengine huwa wanataja tu movies za kiluga luga.
Ongezea Dear John1. Irreplaceable you
View attachment 1999498
Abbie(gugu mbatha) na Sam hawa walikuwa marafiki toka utotoni baadae waka wapenzi. Abbie alijihisi ana ujauzito lakin mwisho waligungua sio ujauzito bali alikuwa na kansa, sasa Abbie akaanza mchakato wa kumtaftia Sam dem(mwanamke) mwingne wakudate nae pindi yeye atakapo kuwa amefariki.
2.Forevar my girlView attachment 1999499
3. The notebookView attachment 1999503
Allie anapoteza kumbukumbu zake zote Noah anaamua kumsaidia kurecover kumbukumbu zake kwa kumsomea story inayohusu maisha yao ya mapenzi toka siku wanaonana. Mwisho Allie anarudiwa na kumbukumbu zake na anamtambua Noah ni nan (hapo akiwa hospital) mwisho wa siku wanakutwa wakiwa wamefariki wakiwa wamekumbatiana .
4.love, RosieView attachment 1999501
Rosie na Alex walikuwa washikaji(marafiki) sana toka utotoni. Tatzo linaanza pale kila mmoja anapoanza kuwa na feelings kwa mwenzie lakin anazuga(anajidai) kama vile rafiki tu mwisho wa siku kila mtu anajikuta anaingia kwenye mahusiano na mtu ambaye sio sahihi.
5. Fault in our starsView attachment 1999500
Nyongeza:
Me before youView attachment 1999502
sanam teri kasamView attachment 1999601
The Light Between OceansView attachment 1999610
Ngoja nije niisake nione ilivyoOngezea Dear John
Daahh!acha kabisa umenikoshaa japo ae dil hai mushkil tuuuu!!!The Great Gatsby
A star is born
Twilight
Friends with benefits
Ae Dil Hai Mushkil
Honorable Mentions
-Titanic
-Ugly truth
-La la Land
Zipo kibao binafsi huwa najiconsider sinaga favourite ila hapo Ae Dil Mushkil ndio naiangaliaga mara nyingi zaidi... nadhani sabab ya soundtracks.
Nimeanza The great gatsby kwa sababu love stories zinakuwaga na tragic endings, sio happy endings mara zote kama movie zinavyoonyesha.
Mkuu nimejaribu kudownload movie ya queen and slim, na imeonyesha imedownload, imecheza dk 2 tu za mwanzo halaf haiendelei. Nimefeli wapi. Na kama nataka iendelee kucheza full movie nifanye nini?Netnaija
Kabhi Alvida Naah kehna
Ae dil hai mushkil
Hamari adhuri kahaan
OK Jaanu
Love aaj Kal
Inaitwa net naija boss unaipata playstoreMkuu unadownload kwanza hiyo app kwenye play store au inakuaje?
Halaf hiyo inaitwa netninja au ni netnaija?
Play store yangu sijui ikoje..siipati aisee. Nafanyaje sijui. Kuna mtu anaweza iweka hapa hiyo link niichukulie kutokea hapa? PleaseInaitwa net naija boss unaipata playstore
Jaribu kuitafuta Google andika Netnaija apkPlay store yangu sijui ikoje..siipati aisee. Nafanyaje sijui. Kuna mtu anaweza iweka hapa hiyo link niichukulie kutokea hapa? Please
Mkuu nimejaribu kudownload movie ya queen and slim, na imeonyesha imedownload, imecheza dk 2 tu za mwanzo halaf haiendelei. Nimefeli wapi. Na kama nataka iendelee kucheza full movie nifanye nini?
Ingia kaka!utapenda yaani Mimi love story za wahindi nazielewa sanaHii list ngoja niingie YouTube trailers naweza pata mbili tatu za weekend maana ikija kwenye Movies mm niko Versatile naenda genres kibao
Nipo na infinix 10 playUna play kwenye kifaa gani na unatumia App/software gani mkuu
Kuna movie ambayo muuaji anaua wanawake wenye nywele ndefu naomba jina la Hii movie kama unajuaUna play kwenye kifaa gani na unatumia App/software gani mkuu