Top 5 ya urais 2015


Utatuchukiaje wachaga wakati CDM Unayoipenda sisi ndio wenyewe? lazima tuongoze nchi hii,penda usipende."The World suffer a lot.Not because of Violence of bad People.But because of the silence of good People"
 
."The World suffer a lot.Not because of Violence of bad People.But because of the silence of good People"
 
tundu lisu na mbowe hawana uwezo wa kuongoza nchi kama hii
nchi kama hii inahitaji watu kama
1.DR.MAGUFULI
2.DR.MWAKYEMBE
3.COMRADE EDWARD LOWASSA
4.ZITTO KABWE
5.JANUARY MAKAMBA
6.SAMUEL SITA

zitto kabwe kwa sababu ni mwenzenu siyo, labda kwa tiketi ya nyinyiemi!!!!!!!!!!!!!!
 

Nakuunga mkono kwa 100% mkuu.
 
Tunataka Rais ambaye hayuko tayari kuona watanzania wanageuzwa mazezeta na haogopi kulisemea hilo na anachukizwa na hilo. ZITO KABWE
 
Dr. Slaa is the best choice.Tindu Lissu muache aive kwanza kisiasa,ila namkubali.Hao wengine ni kuendeleza serikali ya kifisadi.
 

Magufuli ni Dr.
 
Ya kwangu list.
1. Asharose Migiro
2. Halima Mdee
3. Rose Kamili
4. Anne Makinda
5. Mshumbusi
 
Namba4 hafai kwakuwa sio mwaminifu na na ni mwizi mkubwa hapa nchini.
 
Masikini hawapendi matajiri...
vita dhidi ya wachaga haitofanikiwa kwani wachaga hawategemei siasa tu kuendesha maisha yao na kujipatia maendeleo
wana uwezo wa kuacha siasa na bado wakabaki kua mbele daima....elimu,kujituma n vision ndo siri yao...siasa wapo..elimu wapo....mapadre wanao...masista wanao....biashara ndo usiseme.....kila ofisi huwakosi kina mangi...mjambazi pia wapo...
wachaga ni zaidi ya siasa kuwazuia..ni kama Israel..wateule....jifunze toka kwao ...ila ukikaa kuwafitini...utazeeka ukiwaona mbele daima.....
Fitna si mtaji...be objective mjomba....
 
Babu zetu waliwafukuza Wazungu kama WANYONYAJI................ Leo tunawarudisha Wazungu kama WAWEKEZAJI................ (By Afande Sele,2012).
Sharti nyingine awe fisadi. Vinginevyo, wawekezaji waliopo watapata shida.
 
Tuko pamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…