Kama uchaguzi wa raisi 2015 ungefanyika leo, basi ningeenda tu kupiga kura kama hawa wafuatao watakuwepo. Hapa nawapanga katika descending order, kwa maana kwamba kama atakuwepo zaidi ya mmoja ya hao waliopo kwenye list, basi aliye juu ndiye atakayepata kura yangu. Kwa maoni yangu, kati ya wanasiasa ninaowafahamu sasa, hawa ndio wenye uwezo wa kuperform uraisi hapa Tanzania.
- Dr W. Slaa
- Mh. F. Mbowe
- Mh. John Magufuli
- Mh. Edward Lowassa
- Mh. Tindu Lissu
NB; Masharti na vigezo (vya katiba) vimezingatiwa...
hicho kipengele kitafutwa kwenye katiba mpya mzee, uchaguzi ujao tunatumia katiba mpya.Umri hautamruhusu mkuu...
katiba ijayo inapita mzee. subiria. kama hatutatumia katiba ijayo, nitakutafuta nikupe kiss.Never, never, never... tukitumia katiba mpya uchaguzi ujao nitakutafuta nikupe buku...
tatizo ni mgonjwa yule baba, muombee tu labda apone! ila kwa afya yake, ni ngumu kushika dola!To be honest, Hon. Edward N. Lowassa ni 'golden candidate' kwa Watanzania 2015 kwa sababu ana uwezo usio na kifani wa uchapa kazi. Pia ana uwezo mkubwa wa ku-make bold decisions kwa manufaa ya taifa. Binafsi naamini Lowassa hana mpinzani katika urais 2015.
karibu jamvini! punguza jazba!wa kwanza arudi kanisani kapora mke wamtu.akiwa rais atapora wengi zaidi,magufuli jazba,lowasa hata babayenu nyerere hamtaki mpaka kamwandikia kitabu yeye na malechela pia kasaini MOAKWA MANUFAA YA KANISA NA NCHI HII NIA YA WOTE.mbowe jazba siasa za ukabila,lisu jazba akiamua tuivamie nchi yoyote atavamia.hatutaki wote hawafai.
kuliko kutawaliwa na huyo, ni bora kukaa bila RAIS! period!Nchi hii ina ugonjwa wa uchumi na utawala bora ajira afya uadilifu.mtu anaefaa ni profesa lipumba.atweka sawa uchumi.kuhusu utawala ataunda serikali ya umoja wa kitaifa,kutoka vyama aavyote,ajira na afya itakuja baada ya uchumi kukaa sawa kwakua na serikali ya umoja uadilifu ni automatic.mtu huyu kazisaidia chi nyingi kupitia umoja wa mataifa.kwa hiyo hao wote uliowataja watapewa majukumu ndani ya serikali.
Kama uchaguzi wa raisi 2015 ungefanyika leo, basi ningeenda tu kupiga kura kama hawa wafuatao watakuwepo. Hapa nawapanga katika descending order, kwa maana kwamba kama atakuwepo zaidi ya mmoja ya hao waliopo kwenye list, basi aliye juu ndiye atakayepata kura yangu. Kwa maoni yangu, kati ya wanasiasa ninaowafahamu sasa, hawa ndio wenye uwezo wa kuperform uraisi hapa Tanzania.
- Dr W. Slaa
- Mh. F. Mbowe
- Mh. John Magufuli
- Mh. Edward Lowassa
- Mh. Tindu Lissu
NB; Masharti na vigezo (vya katiba) vimezingatiwa...
Kama uchaguzi wa raisi 2015 ungefanyika leo, basi ningeenda tu kupiga kura kama hawa wafuatao watakuwepo. Hapa nawapanga katika descending order, kwa maana kwamba kama atakuwepo zaidi ya mmoja ya hao waliopo kwenye list, basi aliye juu ndiye atakayepata kura yangu. Kwa maoni yangu, kati ya wanasiasa ninaowafahamu sasa, hawa ndio wenye uwezo wa kuperform uraisi hapa Tanzania.
- Dr W. Slaa
- Mh. F. Mbowe
- Mh. John Magufuli
- Mh. Edward Lowassa
- Mh. Tindu Lissu
NB; Masharti na vigezo (vya katiba) vimezingatiwa...
hapo kwenye red, sharti mojawapo la katiba ya nchi ni kuwa na angalau degree moja.
zzk bado sana, na inavyoonyesha hata akifikia 70 hakui!!umewahi mapema maana nilitaka kuongeza 6.zitto kabwe
6. Ridhiwan Kikwete
zotto kabwe umemsahau nini maana yule kijana ni jembe hakuna mfano.