Top 5 Lies about Israel's Assault on Gaza

HAMAS ilianzishwa na Israel ili ku counter balance PLO...Kina Ahmed Yasin Wakageuka na kuwa hardliners kuliko hata Abu Mazen mwenyewe...Ni kama Bin Laden, Saddam nk jinsi walivyokuwa wakipewa support na US na baadae kugeuka kuwa maadui wao wakubwa.
 
JMushi, ndio yaleyale hata Mandela alikuwa terrorist katika nchi yake, na watu wa ANC walikuwa kwenye list, na ni watu waliokuwa wanagombania Uhuru wao. Kuna mambo ambayyo siyazimii, yaani kuna watu ndio wana uwezo wa kuamua kukuweka wewe kama terrorist au kukutoa (Hata kama unapigania Uhuru wako)
 
Back
Top Bottom