kawakama
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,299
- 391
naomba kujua umetumia vigezo gani vya kuwaita warembo na wazuri Africa na umewafananisha na nani hadi useme ati ni warembo na wazuri Africa,kama kigezo chako kilikuwa ni wasichana waliopitia umiss,au umodo au actress labda but remember kuwa umodo,umiss or kuwa actress sio sifa au kigezo cha uzuri..mim demu wangu tu ni mzuri sana na hakuna hata mmoja kati ya warembo wako hao anayemfikia