Top 10 Smart Phones in Dar es salaam

Top 10 Smart Phones in Dar es salaam

SAMSUNG NOTE series either NOTE 2 or NOTE 3....best technological with simple applications phone...anae bisha mchawi.
True ni nzuri.., but note popular among the majority in Dar..
 
Tecno P5 hii ndio ile inauzws laki na 20 kama sijakosea. Hamna kitu pale. Labda kidogo angesema tecno A III

wew unataka iuzwe million ndio uamini p5 best. tatizo lako hujawahi itumia ndio maana unabisha.mwaka huu homa zitawashika sana na hayo ma simu yenu ya ghali
 
Huu ni uongo Iphone haina watumiaji wengi, wengi wanatumia Tecno au Samsung Galaxy.
Inategemea wewe una-hang around na watu wa caliber ya aina gani.., so siwezi kukupinga.., quality is also a criterion.., si popularity tu..
 
Tecno P5 hii ndio ile inauzws laki na 20 kama sijakosea. Hamna kitu pale. Labda kidogo angesema tecno A III

Hiyo itakuwa Tecno M3. Kumbuka pia kuna Tecno H5, P5 ni toleo jipya mno na bado ni Original haijawa copied haiwezi kuwa bei hiyo
 
Hiyo itakuwa Tecno M3. Kumbuka pia kuna Tecno H5, P5 ni toleo jipya mno na bado ni Original haijawa copied haiwezi kuwa bei hiyo

Sio M3,ni M9 ALMAARUFU TECNO PHANTOM AIII. H5 na P5 nazijua.H5 ni kubwa kuliko P5. H5 ni laki na nasu hadi 55, P5 ni 120
 
hapo kwenye Nokia Lumia ungeweka NOKIA LUMIA 625. Ndio toleo latest kwenye Lumia series na ina functions nyingi kuliko Lumia 520.
 
Guys twende turudi.....iPHONE 5S ndio baba lao....ukiwa nayo lazima ueshimike na watu wanaojua.... not everyone can afford this coz its very expensive...but the features are the best.
 
Bb umeisahau

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom