Top 10 Smart Phones in Dar es salaam

Top 10 Smart Phones in Dar es salaam

Guys twende turudi.....iPHONE 5S ndio baba lao....ukiwa nayo lazima ueshimike na watu wanaojua.... not everyone can afford this coz its very expensive...but the features are the best.

Hata Sony Xperia Z1 au Z2
 
Chakunishangaza unamkuta mtu anayo hiyo simu ,naukimuangalia mahali anapo ishi chumba jiko kila kitu humo humo viyatu humo humo ukiangalia choo cha ni cha jumla jamala kula yake haisemeki wacha tu kingiacho mjini
 
sasa mbona tano wakati ulisema top 10.Mi na kitu ya alcatel onetouch hero safi.....
 
Chakunishangaza unamkuta mtu anayo hiyo simu ,naukimuangalia mahali anapo ishi chumba jiko kila kitu humo humo viyatu humo humo ukiangalia choo cha ni cha jumla jamala kula yake haisemeki wacha tu kingiacho mjini

Your right yaani. Kuna mstari wa kala jeremia anakwambia uza smartphone fuga kuku wa kisasa, unaniingia kichwani sana nina simu ya kupewa ila naona nikiiza plus nilichinacho mfukoni na nilichonacho kichwani nitakua mbali sana
 
Your right yaani. Kuna mstari wa kala jeremia anakwambia uza smartphone fuga kuku wa kisasa, unaniingia kichwani sana nina simu ya kupewa ila naona nikiiza plus nilichinacho mfukoni na nilichonacho kichwani nitakua mbali sana

Ni ahmed zu?
 
Back
Top Bottom