Top 10 biggest banks in Tanzania by assets

Top 10 biggest banks in Tanzania by assets

Wapo pegeout house upanga.. wao hawanaga utaratibu wa branches kila sehemu kama bank zingine.. wao wanaweka branch moja tu kila nchi kwa ajili ya kuhudumia makampuni makubwa na matajiri level za kina Mo ama Bakhressa tu.

Hawahudumii wateja kama mimi na wewe
Ila kuna watu/kampuni wana mipango mathubuti kwelikweli..kwahiyo ni corporates tu na unaweza kukuta wanakunja faida kubwa kinyama kuliko hawa wanaopitisha mishahara ya wateja wao ya 500k kwa mwezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu unalo? La kwamba ni sh ngapi?

Mshahara ni siri ya muajiriwa na muajiri. Huwezi kuweka humu.

Ila uliza watu waliopo bank industry bank gani inalipa vizuri hapa Tanzania kuliko zote. Utapata majibu. Citi bank hata receptionist tu ukimuona unajua mwajiri wake amenona
 
Ila kuna watu/kampuni wana mipango mathubuti kwelikweli..kwahiyo ni corporates tu na unaweza kukuta wanakunja faida kubwa kinyama kuliko hawa wanaopitisha mishahara ya wateja wao ya 500k kwa mwezi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kabla magu hajatoa amri ya hela za mashirika ya uma zote ziwekwe bot. Citi bank ndio ilikuwa bank ya mashirika makubwa ya uma.

Ila yenyewe citi bank magu hakuwatingisha kuhamisha fedha kwao maana bado walikuwa wana wateja makampuni binafsi makubwa kibao.

Unajua corporates wanaogopa sana benk local sabab wanajua zinaweza kufilisika wakala hasara ya pesa zao. Kuepuka huko wanaweka hela zao na transactions zao bank kubwa kama citi bank sabab wanajua haiwezi filisika hata iweje
 
Mshahara ni siri ya muajiriwa na muajiri. Huwezi kuweka humu.

Ila uliza watu waliopo bank industry bank gani inalipa vizuri hapa Tanzania kuliko zote. Utapata majibu. Citi bank hata receptionist tu ukimuona unajua mwajiri wake amenona
Hiyo reply yangu ya pili ilitaka kujua kama unakuta mshahara wao. Sio lazima utaje.
 
Back
Top Bottom