Top 10 Best secondary schools of all time in Tanzania

lakini ilikuwa sifa kusoma, government school, maana yake ni kwamba umafaulu kuliko wengine ndio maana ukachaguliwa! Sure we were looking down to those who went to private school (kasoro seminaries na intl schools) hata kama ni kaka yako wa tumbo moja.

Naomba usome tena maelezo yangu mkuu.
 
NN inategemea unaongelea miaka ipi kwani up to the end of 1990s private (isipokuwa seminaries though sio kwa wanafunzi wote) waliambulia kupokea wale waliofeli au ambao hawakuchaguliwa kujiunga kidato cha kwanza shule za serekali kwahiyo government ilikuwa ni kwa ajili ya vipanga na ndio maana hata katika top 10 (ukiondoa seminary) hakuna shule ya private ilikuwa ikifua dafu mbele ya government. Siku hizo hata ukimwuliza mwenzio unasoma wapi hakiyanani kama ni private anatamka kwa unyoooonge kwasababu atajulikana alifeli.....Siku hizi kama mwanao anasoma government hutaki hata kutamka hivyo mbele za watu kwani unaonekana ....you are not serious!!

Kuna wanafunzi wengi tu ambao walifaulu kwenda kusoma shule za serikali lakini kwa vile wazazi wao walikuwa na uwezo waliamua kuwapeleka kwenye shule za binafsi kama vile Agha Khan Mzizima na SRSS.

Na miaka hiyo unayoizungumzia wewe ilikuwa ni ujiko kusoma hizo shule. Mimi nimesoma shule binafsi na kamwe sikuwahi kuona aibu na nilikuwa najivunia kusoma hiyo shule na divisheni one na two zilikuwepo za kutosha kabisa.

Kwa hiyo siyo wote na siyo sahihi kusema kuwa wale waliosoma shule za binafsi walifeli mitihani ya taifa ndiyo maana wakasoma shule za private.

Na kwa vile mtu alifeli darasa la saba au form four haimaanishi kuwa yeye si kipanga. Sababu za watu kutopata alama za juu huwa ni nyingi sana.
 
Here is the list of 10 greatest secondary schools ever to occur in TANZANIA. This represents the all time best sec school since the death of Tanganyika. 1. MZUMBE 2. MARIAN 3. FEZA 4. KIBAHA 5. FRANSIS ST 6. KIFUNGILO 7. MAUA 8. ILBORU 9. TABORA 10. KILAKALA
Shule nzuri ni za ROMAN CATHOLIC seminaries na kwa sasa the best ni Queen Of Apostrophies Seminary iliyopo Ushirombo,mkoa mpya wa Geita.
 
The best school is feza boys, I remember miaka ya 2000 to 2005 ilikuwa inachukua wanafunzi wa kawaida ambao hata la 7 hawakufaulu nikiwemo mimi ila walimu wanakutengeneza failure wa standard 7 kuja kuwa na akili na kupata flying colors form 4 and form 6 na hata university as kwa msingi waliokuandaa,, but mzumbe, ilboru, kilakala na zinginezo zilikuwa zinapata watu vichwa tayari ambao hata bila kufundishwa wanafaulu.

Nakwambia ukisoma feza hata uwe mjinga vipi utafundishwa hadi ukasirike mwenyewe na at the end of the day unafaulu vibaya na hata kuitingisha nchi,, kuna watu nilisoma nao walifeli la 7 lakin form 4 na 6 wakaja kuingia national top ten na hata university wakaenda kupiga gpa za kufa mtu, imagine hao watu wangesoma shule zisizojua kuwafanya wanafunzi wawe smart wangeishia wapi kama sio kuendeleza zero tu

Mpaka leo nashindwa kuelewa mwanaasha alifeli vp feza girls wakati ni feza girls ni pacha wa feza boys

kwa minajili hii mtabishana mpaka kesho asubuhi hapa!
 
Hata mimi sijaelewa sijui ni aibu gani anayoizungumzia.

Halafu kufeli la 7 wala siyo aibu. Na kufeli mtihani wowote ule si aibu.

Sio aibu kaka but wabongo walikuwa wanaponda mtaani wanaringishia kuchaguliwa serikalin na kuona tusiochaguliwa vilaza. Ni wachache walio exposed kias cha kuelewa hilo as kufeli shule sio ukilaza
 
Kuna shule nyingne hata hazna miaka 20 lakin kwa kipind kifup zimefanya wonders kulko hata zenye miaka 60. Hicho ni kigezo pia
 
Ni kweli kaka sbrss, mzzm, feza zilikuw shule flan hivi watu wanaziogopa but feza niliipa credit za kubadilisha low perfomer to top level, sbrss na mzzm zilikuwa zinakuweka kawaida, my twin sister goes to sbrss but hakubadilika sana as form 2 tu tukawa tofauti as ufundishaj wa sbrss haukuwa sawa na feza,

Kubadilika kutoka kuwa mwanafunzi wa kawaida na kwenda kuwa mwanafunzi bora kunahitaji pia juhudi binafsi. Hata upewe waalimu wako peke yako wewe mwenyewe kama huweki juhudi zako binafsi basi hutaona matokeo.

Kwa miaka hiyo ya 80 na 90 SRSS na Mzizima zilikuwa na mazingira mazuri sana ya kuweza kumfanya mwanafunzi afaulu. Ratio ya wanafunzi na walimu ilikuwa ndogo na hivyo kuwezesha kutoa fursa ya one-on-one kati ya waalimu na wanafunzi waliokuwa hawafanyi vizuri, maabara na maktaba zilikuwa nzuri, n.k.
 
Kuna wanafunzi wengi tu ambao walifaulu kwenda kusoma shule za serikali lakini kwa vile wazazi wao walikuwa na uwezo waliamua kuwapeleka kwenye shule za binafsi kama vile Agha Khan Mzizima na SRSS.



Na miaka hiyo unayoizungumzia wewe ilikuwa ni ujiko kusoma hizo shule. Mimi nimesoma shule binafsi na kamwe sikuwahi kuona aibu na nilikuwa najivunia kusoma hiyo shule na divisheni one na two zilikuwepo za kutosha kabisa.

Kwa hiyo siyo wote na siyo sahihi kusema kuwa wale waliosoma shule za binafsi walifeli mitihani ya taifa ndiyo maana wakasoma shule za private.

Na kwa vile mtu alifeli darasa la saba au form four haimaanishi kuwa yeye si kipanga. Sababu za watu kutopata alama za juu huwa ni nyingi sana.

Ni kweli kaka sbrss, mzzm, feza zilikuw shule flan hivi watu wanaziogopa but feza niliipa credit za kubadilisha low perfomer to top level, sbrss na mzzm zilikuwa zinakuweka kawaida, my twin sister goes to sbrss but hakubadilika sana as form 2 tu tukawa tofauti as ufundishaj wa sbrss haukuwa sawa na feza.

Nilichokuwa naongelea kwenye kumbadilisha mwanafunzi, kuhusu ujiko ni kweli as hakuna anayependa shida au kutosoma shule nzuri. Miaka hiyo na hadi sasa ukionekana na hizo jezi tu sbrss, mzizima na hata feza ujiko as hutumii nguvu kukamata watoto wa jangwan, kisutu, zanak na kwingineko as jezi inakusapoti
 
Kuna wanafunzi wengi tu ambao walifaulu kwenda kusoma shule za serikali lakini kwa vile wazazi wao walikuwa na uwezo waliamua kuwapeleka kwenye shule za binafsi kama vile Agha Khan Mzizima na SRSS.

Na miaka hiyo unayoizungumzia wewe ilikuwa ni ujiko kusoma hizo shule. Mimi nimesoma shule binafsi na kamwe sikuwahi kuona aibu na nilikuwa najivunia kusoma hiyo shule na divisheni one na two zilikuwepo za kutosha kabisa.

Kwa hiyo siyo wote na siyo sahihi kusema kuwa wale waliosoma shule za binafsi walifeli mitihani ya taifa ndiyo maana wakasoma shule za private.

Na kwa vile mtu alifeli darasa la saba au form four haimaanishi kuwa yeye si kipanga. Sababu za watu kutopata alama za juu huwa ni nyingi sana.

Kwa Kesi ya Shaban Roberts na Mzizima i do agree with you kwani hizo naziweka kundi moja na seminaries.... hebu tujitahidi kuongeza hiyo list uone kama tutakumbuka walau shule 5 ambazo mtu ungeweza kujivunia na kuacha offer ya kwenda ilboru umbwe mazengo nk......
 
The best school is feza boys, I remember miaka ya 2000 to 2005 ilikuwa inachukua wanafunzi wa kawaida ambao hata la 7 hawakufaulu nikiwemo mimi ila walimu wanakutengeneza failure wa standard 7 kuja kuwa na akili na kupata flying colors form 4 and form 6 na hata university as kwa msingi waliokuandaa,, but mzumbe, ilboru, kilakala na zinginezo zilikuwa zinapata watu vichwa tayari ambao hata bila kufundishwa wanafaulu.

Nakwambia ukisoma feza hata uwe mjinga vipi utafundishwa hadi ukasirike mwenyewe na at the end of the day unafaulu vibaya na hata kuitingisha nchi,, kuna watu nilisoma nao walifeli la 7 lakin form 4 na 6 wakaja kuingia national top ten na hata university wakaenda kupiga gpa za kufa mtu, imagine hao watu wangesoma shule zisizojua kuwafanya wanafunzi wawe smart wangeishia wapi kama sio kuendeleza zero tu

Mpaka leo nashindwa kuelewa mwanaasha alifeli vp feza girls wakati ni feza girls ni pacha wa feza boys

mwanaasha? Akili ya mama ile!
Yani kafuata upande wa mama yake!
Ticha scores!
 
nyie wote mnaonekana voda fasta divisheni yako I Point 7F4 au 3 F6 ni sawa na div 3 za miaka ya 2000 kurudi nyuma!


nyie mnasoma basi? au mnakaririshwa. Tafakarini chukua hatua. nafundisha chuo kikuu kimoja hapa TZ, ndg wanafunzi

wetu someni achaneni na dot com, Aliyetaja GPA Kubwa hapo juu! division na gpa zetu hazina lolote.


wewe mwanafunzi unatokea mzumbe, au feza, chuo unapata shida ya nini, kama kweli ulisoma vizur . unafaulu sawa na


wa shule za kata wapi na wapi?
 
mbona 2012 shule ya sekondari Kisimiri ilikuwa ya kwanza katika shule za serikali na ya tatu kitaifa wanafunzi ndio sababu ya shule kuwa bora
 
Tafadhali weka taboraboys nafasi ya kwanza achana na feza,mzumbe wameibuka juzi tu nenda kwenye historia uone tbrboys ilivyokuwa nouma alafu huwezi kuweka na vijishule vya miaka ya hivi karibuni
 
Back
Top Bottom