BHULULU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 4,988
- 2,012
lakini ilikuwa sifa kusoma, government school, maana yake ni kwamba umafaulu kuliko wengine ndio maana ukachaguliwa! Sure we were looking down to those who went to private school (kasoro seminaries na intl schools) hata kama ni kaka yako wa tumbo moja.
Naomba usome tena maelezo yangu mkuu.