Top 10 African countries with the most internet users

Attachments

  • images (5).jpeg
    images (5).jpeg
    20 KB · Views: 1
  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    20 KB · Views: 1
  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    26.7 KB · Views: 1
Kwahivyo vihi vijumba hivi vitatu ndo vinawafanya muwe Middle income kutushinda sio??? Total cost yake haipiti hata $50M
ndio maana tunashangaa middle income inashindwaje kujenga,jiji linakaa na stand kama mabanda ya nguruwe.
 
ndio maana tunashangaa middle income inashindwaje kujenga,jiji linakaa na stand kama mabanda ya nguruwe.
Kama tunaweza kujenga mji mzima ndani ya jiji kuanzia chini hadi juu ikiwemo reli, hatuwezi shindwa na vi stendi vya buss ambavyo havigarimu zaidi ya $50m, issue ni priorities tu! manake serekali yetu ikiamua kuwachomoa na stendi mtapakimbia hapa EAC.

Sh 28bn Railway City takes shape as authority formed
 
Bado hajawahi kutushinda kwa logistics/infrustructure, kwahivyo inadhihirisha our priorities work for us
sisi maneno tuliishawaachia,kama mnanunua train ya 47s these ela,guys mko na logistics kabambe sana.
 
sisi maneno tuliishawaachia,kama mnanunua train ya 47s these ela,guys mko na logistics kabambe sana.
Huku ndo hua hamuelewi, unaangalia sura ya treni badala ya kuuliza uwezo wa reli kubeba mizigo....

JKIA airport ya kitambo lakini abiria wanapita faster faster mwisho wa mwaka tunapitisha abiria wengi kuliko airport zote ukijumlisha TZ,,,,,,,, Huku TZ mnajisifu na Terminal mpya pale JNIA wakati haifikii JKIA hata nusu kwa abiria.

Unataka ujisifie stendi tatu za bus badala ya kujua sector ya chukuzi hubeba abiria wangapi na mizigo kiasi gani kwa mwaka.

-----------------------------------------------------------------

Siku zote mtajikuta mko nyuma yetu manake inakaa hata hamfahamu nini kinafanya nchi kusonga...
 
Huku ndo hua hamuelewi, unaangalia sura ya treni badala ya kuuliza uwezo wa reli kubeba mizigo....

JKIA airport ya kitambo lakini abiria wanapita faster faster mwisho wa mwaka tunapitisha abiria wengi kuliko airport zote ukijumlisha TZ,,,,,,,, Huku TZ mnajisifu na Terminal mpya pale JNIA wakati haifikii JKIA hata nusu kwa abiria.

Unataka ujisifie stendi tatu za bus badala ya kujua sector ya chukuzi hubeba abiria wangapi na mizigo kiasi gani kwa mwaka.

-----------------------------------------------------------------

Siku zote mtajikuta mko nyuma yetu manake inakaa hata hamfahamu nini kinafanya nchi kusonga...
Kenyans are too talkative.

Maneno meeengi utendaji zero.
Viwanda vyote mmejengewa na Uingereza.
Makampuni yote ni ya wazungu.
 
Huku ndo hua hamuelewi, unaangalia sura ya treni badala ya kuuliza uwezo wa reli kubeba mizigo....

JKIA airport ya kitambo lakini abiria wanapita faster faster mwisho wa mwaka tunapitisha abiria wengi kuliko airport zote ukijumlisha TZ,,,,,,,, Huku TZ mnajisifu na Terminal mpya pale JNIA wakati haifikii JKIA hata nusu kwa abiria.

Unataka ujisifie stendi tatu za bus badala ya kujua sector ya chukuzi hubeba abiria wangapi na mizigo kiasi gani kwa mwaka.

-----------------------------------------------------------------

Siku zote mtajikuta mko nyuma yetu manake inakaa hata hamfahamu nini kinafanya nchi kusonga...
wakati kama huu tunachimba bwawa la umeme,tunajenga train ya umeme,tumetanua uwanja,tunaboresha bandari.hamuwezi tuelewa sababu mliishafika mwisho,mnaona ni kama tunarudia mliyokwisha fanya,as you said mko na namba kubwa kila sehemu.

subiri output ya kila kimoja,ndio utaelewa kumbe mlikuwa hamjui.hata kipindi jpm anajenga ukuta mererani,watu walidhani kawehuka.now mapato ya madini yako juu mara 2 kuliko mwaka jana.
 
Back
Top Bottom