Top 10 African countries with the most internet users

Kutokana na population yetu hao watu kidogo mno. Ilibidi tuwe juu zaidi
Umeona tz ilitoka kabisa kwenye row,ghafla imeibuka na kupanda kwa kasi sana miaka hiyo 6 hapo!!!!

Bado kuna maajabu mengi sana watu wanatakiwa wayaone katika kipindi cha miaka hii 10-20.
 
haya mambo mim huwa siya amini mfn angalia wasanii wakenya mtandaon alaf angalia bongo utagundua kitu kenya kwenye swala la internet mpo nyuma yaan wasanii wa kenya ndo wanaongoza kwa kutokuwa na views na followers wengi EA.

Alaf kitu cha pili tafta interview waliofanya saut soul WASAFItv waliulzwa kwanin kenya mtandao hauja changamka kama bongo walicho jibu kaangalie.
Una akili kweli? 90% ya hizo views ni kutoka Kenya
 
Una akili kweli? 90% ya hizo views ni kutoka Kenya
Unaongea nin wewe hivi unashirikiana na ubongo wako kweli wewe? Au unajiamlia tu kuongea. Sasa kama 90% zinatoka kenya mbona wqsanii wenu hawapati hao followers au viewers ambao wapo Kenya, na vp kuhusu wasanii ambao sio wakubwa wanakuwa na funs wengi uki compare na huko Kunya na hao wanakuwa hawajajulkana nje ya Tz

Alafu nenda katafute interview ya saut soul walio ifanya wasafi tv ndo uje tujibizane.
 
Unaongea nin wewe hivi unashirikiana na ubongo wako kweli wewe? au unajiamlia tu kuongea. Sasa kama 90% zinatoka kenya mbona wqsanii wenu hawapati hao followers au viewers ambao wapo kenya, na vp kuhusu wasanii ambao sio wakubwa wanakuwa na funs wengi uki compare na huko Kunya na hao wanakuwa hawajajulkana nje ya Tz

alaf nenda katafute interview ya saut soul walio ifanya wasafi tv ndo uje tujibizane
akikujibu niite.
 
kwamba mna private car,planes,boats,trains za kutosha kiasi cha buses kukosa umuhimu!!!!!,wewe huwa unafikiri kwa kutumia nini jamaa yangu???

ulikuwa hujazaliwa 2018 mgomo wa madereva hapo cbd???mbona hamkufuata private cars zenyu madereva wa matatu's wafe njaa!!!!
1.Nikitaka kwenda Coast/pwani natumia SGR.
2.Nikitaka kwenda Kisumu natumia MGR.
3.Nikitaka kwenda Nyeri natumia MGR.
4.Within Nairobi natumia Uber.
5.Nikitaka kufika Turkana ndege ksh6000 imenitosha round trip tena.
Mabasi Ni ya kuunga unga tu hapa na pale soon bus trips zitakuwa maybe za kutalii. Ndio maana nasema Tz iko in the 80s 😁

Ati 2018 kulikuwa na mgomo hujui kuwa Dar Kila siku Ni Kama kuna mgomo
images-6.jpg
images-2.jpg
images-7.jpg
 
1.Nikitaka kwenda Coast/pwani natumia SGR.
2.Nikitaka kwenda Kisumu natumia MGR.
3.Nikitaka kwenda Nyeri natumia MGR.
4.Within Nairobi natumia Uber.
5.Nikitaka kufika Turkana ndege ksh6000 imenitosha round trip tena.
Mabasi Ni ya kuunga unga tu hapa na pale soon bus trips zitakuwa maybe za kutalii. Ndio maana nasema Tz iko in the 80s
jinsi unajitahidi kuikataa ngori hii
IMG-20200706-WA0107.jpg
 
1.Nikitaka kwenda Coast/pwani natumia SGR.
2.Nikitaka kwenda Kisumu natumia MGR.
3.Nikitaka kwenda Nyeri natumia MGR.
4.Within Nairobi natumia Uber.
5.Nikitaka kufika Turkana ndege ksh6000 imenitosha round trip tena.
Mabasi Ni ya kuunga unga tu hapa na pale soon bus trips zitakuwa maybe za kutalii. Ndio maana nasema Tz iko in the 80s
Acha uongo wewe ustufanye majuha humu ndani. Ati Kenya mabasi sio muhimu! Unafikiri Kenya hatujui?
 
GDP ni pato la taifa kwa mwaka.

Uchumi thamani ya biashara ya nchi husika.

ukitaka kujua nchi yenye GDP ni kenya,na nchi zenye uchumi ni kama tz.
Khaa!!!
Tena hyo GDP unajua maana yake kweli
Jamani, jomba hemu niache sitaki kupoteza mda
 
kwamba mna private car,planes,boats,trains za kutosha kiasi cha buses kukosa umuhimu!!!!!,wewe huwa unafikiri kwa kutumia nini jamaa yangu???

ulikuwa hujazaliwa 2018 mgomo wa madereva hapo cbd???mbona hamkufuata private cars zenyu madereva wa matatu's wafe njaa!!!!
Uletewe data
 
leta data zikionyesha kwamba wakazi wa nairobi hawatumii buses bali private cars.
Mbna unakwepa
Sema sai nikuletee data kuhusu hayo magari pande zote mbili ujisomee tu..

Au ndio unazuga tu..vitu vngine ukikubali havina madhara yyte na afya yako
 
1.Nikitaka kwenda Coast/pwani natumia SGR.
2.Nikitaka kwenda Kisumu natumia MGR.
3.Nikitaka kwenda Nyeri natumia MGR.
4.Within Nairobi natumia Uber.
5.Nikitaka kufika Turkana ndege ksh6000 imenitosha round trip tena.
Mabasi Ni ya kuunga unga tu hapa na pale soon bus trips zitakuwa maybe za kutalii. Ndio maana nasema Tz iko in the 80s

Ati 2018 kulikuwa na mgomo hujui kuwa Dar Kila siku Ni Kama kuna mgomo
View attachment 1504462View attachment 1504463View attachment 1504464
Hela ya unga inakupiga tobo ndio ukapande uber?
 
Back
Top Bottom