Nakaribia kufika Iringa. Na upendo bus.tonda imepata ajari a kugonga semi iliyokuwa imeharibika pembeni.inasemekana driver Kafa.
majeruhi na abiria wengine wa tonda tumewabeba ndani ya upendo zaidi nikifika Iringa
Poleni sana waathirika na Ndugu!
Mungu awafariji.
Ajari=Ajali?
Usishangae mkuu huyu ni mtu wa Mbeya au Iringa,kwetu hatuna tofauti kati ya R na L.