Tokea nimeoa kina dada wananitaka

Tokea nimeoa kina dada wananitaka

Hahahaaa,,.......dah, hebu nimeegee hako ka siri walichonacho waliooa!
MUTOMBO SIRI HIYO HAPO

attachment.php
 
Mkuu MeinKempf , sijui kama unapendezwa na hiyo picha ulioipost hapo, sio busara kupost picha kama hiyo.
 
Last edited by a moderator:
Huyu kaka alikuwa nchafu sasa hiv mkewe anamtunza ndio uzur wake unaonekana
 
Kimsingi wanawake wana tabia ambazo hata wao wenyewe hawazijui,pamoja na hilo kuna mambo ambayo wewe umeyafanya ambayo kwao yanaleta tafsiri tofauti na wewe unavyoyaona

Kwanza kabisa kimsingi unapokuwa unamtaka mwanamke na ukamuonesha uhitaji mkubwa sana jua huyo huwezi kumpata kwakuwa kawaida mwanamke akijua unamuhitaji mara nyingi huanza kuhisi tofauti na hali hiyo hupelekea kuanza kukuona kama wewe humuhitaji

Hili linasababishwa na ile hali ya mwanamke kujisikia salama,wanawake huwa wanazama sana mapenzini hasa pale ambapo anapokuwa hana uhakika na penzi lake kwa anaempenda,jaribu kuangalia wanawake wanawapenda kupindukia waume au wapenzi wao ni wale ambao wako kwenye mahusiano na watu ambao hawaeleweki kabisa,ni uongo mwanamke akisema akipata mwanaume ambae atamhakikishia penzi lake atampenda

Wanawake wakijua kuwa wanaweza kuachwa muda wowote ule basi huwapenda sana wanaume hao

Kwenye ishu yako wewe ni kwamba kwanza wakati wa ubachela ulikuwa ni mtulivu kiasi au sana,hili liliwafanya wanawake wasiwe na wasiwasi na wewe kwani "watakukuta tu",yaani wewe walikuwa wanakutazama kama mtu fulani wa uhakika hivi kwasababu ya utulivu wako jambo hilo liliwafanya wakuone kama "hufai kwa sasa"

Kingine ni kuwa walikuwa "wanahisi huwezi" na hili lilitokana na wewe kutokuwa na mahusiano mengi au kutokuwa nayo kabisa,jiulize ni kwanini wale vicheche ndio hao hao wanagombaniwa na wanawake huku mitaani? Jibu rahisi ni kwasababu wanawake wanakuwa wanavutiwa nao sana kwasababu hiyo hapo juu

Ulipokuja kuoa hapo ndipo wale ambao walikuwa wanakuona "huwezi" wamekuja kugundua "unaweza",wale ambao walikuwa wanadhani "watakukta tu" wamejua sasa hawatakukuta,hali zote hizi zinawafanya wasijisikie amani kuhusiana na wewe kwenye suala la mapenzi kitu ambacho kinawafanya uwavutie na kutaka mahusiano na wewe

Hiyo iko hivyo na wala usidhani kuna chochote kipya hapo, wanawake wapo hivyo

CC: Himidini ....!!
hiyo point ya 'kuweza'ni ya msingi zaidi,na ikatokea mke akawa mjamzito,wanawake watamuona ni noma zaidi na kuzidisha hamu ya kutaka do nae at least once ili aweze enjoy kama anavyodhani kwamba mkewe do enjoy.wanawake huwa hawapendi wanaume ambao hawana uzoefu kwenye hayo mambo, umejitahidi kuwaelewa hao viumbe.
 
Last edited by a moderator:
"habari zenu wakuu,

hii kitu inanishangaza sana maana kabla sijaoa wadada walikuwa hawataki mazoea na mimi kabisa ila sasa tokea nioe tena ndoa yenyewe hata mwezi haujaisha kina dada wanaanza kujigonga wengine wameshaanza kunitumia text zisizoeleweka na mapenzi.

wengine wanajua kabisa kuwa nimeoa hivi karibuni. nikajaribu kuwatongoza ila cha ajabu hawajakataa!

hivi nyie kina dada huwa mnatupenda sana wanaume ambao tumeshaoa?au wanaume tulio kwenye ndoa tunawazidi nini wanaume wengine wasiokuwa kwenye ndoa mpaka mnajidhalilisha hivi?"

Na we ni mkali... Hata mwezi bado umepata guts za kutongooza tena sio mara moja? Maana kama hawajakataa umepiga kazi mkuu. Mkeo ana shida!!!
 
Mwenyenacho siku zote anaongezewa, na huwezi kupata kitu kama huna kitu, zamani walikuwa hawakutaki sababu ulikuwa huna mke.
Swala jingine ni harufu ya K, mwanaume akiwa anaingia kati kati ya mapaja ya mwanamke angalau mara 3 kwa wiki huwa anakuwa na hararu ya K ambayo huwavutia sana watu wa kike. Ndiyo maana mtu akiwa kitombi sana wao ndiyo wanamtaka zaidi.
 
Ni kawaida kwamba wanawake wana asili ya wivu. Hii ni kwamba wana wivu na mkeo ba huenda mlengwa siyo wewe.
 
Back
Top Bottom