Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,970
- 10,462
🤣 🤣 🤣 kule mwishoni 👇👇👇👇Sisi tuliooa tuna comment wapi?
🤣 🤣 🤣 kule mwishoni 👇👇👇👇Sisi tuliooa tuna comment wapi?
si umesoma uzi wake kasema kafika chuoMkuu EINSTEIN112 hapa JF kila mtu kafika chuo.
Hujui sound?Wew Bora ulishalala na mwanamke Mimi sijawahi lala na mwanamke na umri wote huu.
Nahisi sijui na Tati'zo kubwa Sana.
NB na ghetto ninalo tena zuri
Hata kama wewe ni mdogo fanya mpango uoeNina miaka 27 nimewahi kufanya mapenzi Mara nyingi tu na madada poa na baadhi ya mademu zangu huko shuleni na chuoni Ila kiukweli sijawahi kulala kitandani na mwanamke usiku kucha kwa sababu sikuwahi kuwa na geto na sijawah kupata msichana ambaye Yuko free wengi Ni getikali unapiga mzgo anarud kwao.
Pongezi kwenu wakinadada wote ambao mmekubali kulala na mwanamme usiku kucha sio Jambo dogo na nyie ma braza zangu heshimuni Sana wanawake zenu mnaolala nao hongereni Sana natamani hayo maisha siyapati.
Mahusiano yamekuwa magumu siku hizi Ni Vita na Sasa hivi Nina geto langu kabisa siku nikimuotea wangu asee nitapiga mpaka nikinai mwenyewe yaani usiku huo utakuwa mrefu Sana nitahakikisha nafidia siku zote ambazo nimekuwa mpweke nitakupigia goal Kama nane hivi ili nijipime vizuri nguvu zipo au ndo zilishapunguaga.
Achana na hii naijua hii ni balaaNa sisi ambao demu akilala siku moja anang’ang’ania ghetto hataki kutoka hata mfike serikali za mitaa tuta comment wapi!?
Kwani bado unaishi kwa shemeji yako?Nina miaka 27 nimewahi kufanya mapenzi Mara nyingi tu na madada poa na baadhi ya mademu zangu huko shuleni na chuoni Ila kiukweli sijawahi kulala kitandani na mwanamke usiku kucha kwa sababu sikuwahi kuwa na geto na sijawah kupata msichana ambaye Yuko free wengi Ni getikali unapiga mzgo anarud kwao.
Pongezi kwenu wakinadada wote ambao mmekubali kulala na mwanamme usiku kucha sio Jambo dogo na nyie ma braza zangu heshimuni Sana wanawake zenu mnaolala nao hongereni Sana natamani hayo maisha siyapati.
Mahusiano yamekuwa magumu siku hizi Ni Vita na Sasa hivi Nina geto langu kabisa siku nikimuotea wangu asee nitapiga mpaka nikinai mwenyewe yaani usiku huo utakuwa mrefu Sana nitahakikisha nafidia siku zote ambazo nimekuwa mpweke nitakupigia goal Kama nane hivi ili nijipime vizuri nguvu zipo au ndo zilishapunguaga.
Mimi ashawahi kungangania mpaka nikaita baloziAchana na hii naijua hii ni balaa
Imenikuta hii juzi demu kaganda getto kinouma afu pasua kichwa balaa kila muda ni wa visirani na kununa, anaweza kukuambia nakupenda ukimjibu nakupenda pia huo ni ugomvi wa siku nzima atakuuliza nakupenda pia ng'ombe, mbuzi au mbwa? Siruhusiwi hata kwenda dukani na ukizingatia mm ni mtu wa bata nikaona ntakufia getto kwangu ikabidi nitumie akili sana ili asepeNa sisi ambao demu akilala siku moja anang’ang’ania ghetto hataki kutoka hata mfike serikali za mitaa tuta comment wapi!?
Imenikuta hii juzi demu kaganda getto kinouma afu pasua kichwa balaa kila muda ni wa visirani na kununa, anaweza kukuambia nakupenda ukimjibu nakupenda pia huo ni ugomvi wa siku nzima atakuuliza nakupenda pia ng'ombe, mbuzi au mbwa? Siruhusiwi hata kwenda dukani na ukizingatia mm ni mtu wa bata nikaona ntakufia getto kwangu ikabidi nitumie akili sana ili asepe
Nipe maneno mzeeHujui sound?
Imenikuta hii juzi demu kaganda getto kinouma afu pasua kichwa balaa kila muda ni wa visirani na kununa, anaweza kukuambia nakupenda ukimjibu nakupenda pia huo ni ugomvi wa siku nzima atakuuliza nakupenda pia ng'ombe, mbuzi au mbwa? Siruhusiwi hata kwenda dukani na ukizingatia mm ni mtu wa bata nikaona ntakufia getto kwangu ikabidi nitumie akili sana ili asepe
Pole mno kaka! Naomba nije PMNiko vzr Tu.
Napata Hadi wet dreams.
Na no za wasichana ninazo lakin hawajahi kunikubali wala kuna ghetto kwangu.wengine hukataa Hadi kutolewa out kabisa.tatizo hili linanipa stress sana
Naomba nije PMNiko vzr Tu.
Napata Hadi wet dreams.
Na no za wasichana ninazo lakin hawajahi kunikubali wala kuna ghetto kwangu.wengine hukataa Hadi kutolewa out kabisa.tatizo hili linanipa stress sana
Karibu sanaPole mno kaka! Naomba nije PM
unatamani kuyafikia mafanikio hayooo????Nina miaka 27 nimewahi kufanya mapenzi Mara nyingi tu na madada poa na baadhi ya mademu zangu huko shuleni na chuoni Ila kiukweli sijawahi kulala kitandani na mwanamke usiku kucha kwa sababu sikuwahi kuwa na geto na sijawah kupata msichana ambaye Yuko free wengi Ni getikali unapiga mzgo anarud kwao.
Pongezi kwenu wakinadada wote ambao mmekubali kulala na mwanamme usiku kucha sio Jambo dogo na nyie ma braza zangu heshimuni Sana wanawake zenu mnaolala nao hongereni Sana natamani hayo maisha siyapati.
Mahusiano yamekuwa magumu siku hizi Ni Vita na Sasa hivi Nina geto langu kabisa siku nikimuotea wangu asee nitapiga mpaka nikinai mwenyewe yaani usiku huo utakuwa mrefu Sana nitahakikisha nafidia siku zote ambazo nimekuwa mpweke nitakupigia goal Kama nane hivi ili nijipime vizuri nguvu zipo au ndo zilishapunguaga.
Usishindane na ulipotokea hapakomolewi paleNina miaka 27 nimewahi kufanya mapenzi Mara nyingi tu na madada poa na baadhi ya mademu zangu huko shuleni na chuoni Ila kiukweli sijawahi kulala kitandani na mwanamke usiku kucha kwa sababu sikuwahi kuwa na geto na sijawah kupata msichana ambaye Yuko free wengi Ni getikali unapiga mzgo anarud kwao.
Pongezi kwenu wakinadada wote ambao mmekubali kulala na mwanamme usiku kucha sio Jambo dogo na nyie ma braza zangu heshimuni Sana wanawake zenu mnaolala nao hongereni Sana natamani hayo maisha siyapati.
Mahusiano yamekuwa magumu siku hizi Ni Vita na Sasa hivi Nina geto langu kabisa siku nikimuotea wangu asee nitapiga mpaka nikinai mwenyewe yaani usiku huo utakuwa mrefu Sana nitahakikisha nafidia siku zote ambazo nimekuwa mpweke nitakupigia goal Kama nane hivi ili nijipime vizuri nguvu zipo au ndo zilishapunguaga.