Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 10,125
- 19,715
We jamaa na ilo jina lako
Unasafari ndefu Sana kiongozi
Unasafari ndefu Sana kiongozi
Ukioa itafika wakati ukiwaza kwenda kulala unaahirisha unaona bora uangalie series mpaka saa 10.Nina miaka 27 nimewahi kufanya mapenzi Mara nyingi tu na madada poa na baadhi ya mademu zangu huko shuleni na chuoni Ila kiukweli sijawahi kulala kitandani na mwanamke usiku kucha kwa sababu sikuwahi kuwa na geto na sijawah kupata msichana ambaye Yuko free wengi Ni getikali unapiga mzgo anarud kwao.pongezi kwenu wakinadada wote ambao mmekubali kulala na mwanamme usiku kucha sio Jambo dogo na nyie ma braza zangu heshimuni Sana wanawake zenu mnaolala nao hongereni Sana natamani hayo maisha siyapati mahusiano yamekuwa magumu siku hizi Ni Vita na Sasa hivi Nina geto langu kabisa siku nikimuotea wangu asee nitapiga mpaka nikinai mwenyewe yaani usiku huo utakuwa mrefu Sana nitahakikisha nafidia siku zote ambazo nimekuwa mpweke nitakupigia goal Kama nane hivi ili nijipime vizuri nguvu zipo au ndo zilishapunguaga.
Daaaa mnaniharibu kisaikolojia asubuhi asubuhi tu....
Nikienda kutenda dhambi umesababisha wewe hahahahahahaha..utaibeba dhambi hiyo ya zinaa
Zinaaaa...Haina jema Wala usiikimbilie mkuuu......Wew Bora ulishalala na mwanamke Mimi sijawahi lala na mwanamke na umri wote huu.
Nahisi sijui na Tati'zo kubwa Sana.
NB na ghetto ninalo tena zuri
Hongera yako mbinguni utafikaNina miaka 27 nimewahi kufanya mapenzi Mara nyingi tu na madada poa na baadhi ya mademu zangu huko shuleni na chuoni Ila kiukweli sijawahi kulala kitandani na mwanamke usiku kucha kwa sababu sikuwahi kuwa na geto na sijawah kupata msichana ambaye Yuko free wengi Ni getikali unapiga mzgo anarud kwao.pongezi kwenu wakinadada wote ambao mmekubali kulala na mwanamme usiku kucha sio Jambo dogo na nyie ma braza zangu heshimuni Sana wanawake zenu mnaolala nao hongereni Sana natamani hayo maisha siyapati mahusiano yamekuwa magumu siku hizi Ni Vita na Sasa hivi Nina geto langu kabisa siku nikimuotea wangu asee nitapiga mpaka nikinai mwenyewe yaani usiku huo utakuwa mrefu Sana nitahakikisha nafidia siku zote ambazo nimekuwa mpweke nitakupigia goal Kama nane hivi ili nijipime vizuri nguvu zipo au ndo zilishapunguaga.
Zinaaaa...Haina jema Wala usiikimbilie mkuuu......
Mkuuu...alokwambia nimetosheka Nani?... Wewe mshauri unachotaka kushauri...Mkitosheka ndo mnashauri hivi wenzenu!
Mkuuu...alokwambia nimetosheka Nani?... Wewe mshauri unachotaka kushauri...
Mbona unakimbembele kwenye ushauri wangu....
Mkuuu....Zinaaaa Ni mbaya Sana...Sana Sana sana...mwenye sikio na asikie...Kumbe bado hujatosheka, so unataka ufaudu peke yako?
Mkuuu....Zinaaaa Ni mbaya Sana...Sana Sana sana...mwenye sikio na asikie...
Upo Titi